Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,033
Habarini wadau Mkuu wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda alitamka bei kupungua bei kuuzwa nusu ya bei ya awali. Ikumbukwe timu ya Taifa inaliwakilisha Taifa kwa ujumla na si Mkoa wa Dar es Salaam. Mkoa wa Dar es Salaam umeonyeshwa kupendelewa kwa kupewa promotion ya kushekerekea ushindi. Nauona kama mwanzo wa kuanza kuitenga Dar es Salaam na Tanzania ni vyema timu ya taifa itakaposhinda ushindi uonekane ni Wawatanzania wote na si kwa Dar es Salaam pekee......
Tunaoimba serikali isitutenge sisi wa Mikoani na timu ya taifa kama ni ushindi tanzania nzima tunywe bia kwa nusu bei sababu ushindi ni wa Watanzania wote.
Shukrani.
Tunaoimba serikali isitutenge sisi wa Mikoani na timu ya taifa kama ni ushindi tanzania nzima tunywe bia kwa nusu bei sababu ushindi ni wa Watanzania wote.
Shukrani.