TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Mnakumbuka makanyagio vizuri,maana ni sehemu ambayo watu wengi tulikuwa tunapata mahitaji yetu mengi,hasa vitumbua kwa wale waliokuwa wanatoka kwenye familia zilizo na uwezo.
Ulanzi kwa sana siku za Disco.Mnakumbuka hiyo? Mnamkumbuka Chuwa mpishi?
Ulanzi kwa sana siku za Disco.Mnakumbuka hiyo? Mnamkumbuka Chuwa mpishi?