pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
Presha ikipanda yaweza sababisha mtu akafa.
Akafa akiwa kijana mdogo kama huyu...
...huyu akifa kwa umri wake atakuwa amejitakia
Amejitakia wapi?? Presha haichagui mtu
Mtu mwembamba kama huyo sio rahisi kuwa na presha japo inaweza tokea
Nini zaidi ya mionzi kila kona na mivyakula ya friji!
Siku magwanda wakichukua nchi nitaongeza mke wa pili
Sisi? Kwanini sisi na sio wale walio kaa pale?
vizuri kujamba mbele ya dem ukiwa unamtongoza
mawazo ya kutafta hela hayaishi kila kukicha
mahela ukiyapata ujue namna ya kuyatumia.kukicha nawaza nitapata wapi dili nipate mahela
kuyatuimia sio tatitzo, bali sehemu za kuyatumia ndo matatizo.