nini tena?
tena wewe huaminiki
Haiishi coz haina mwsho
Au kula bataMwisho gani wa kupamba au?
Au kula bata
Hiz nyakat muhimu
Muhimu ni pumz mengne majaaliwa.
Kesho unaijua utafika
utafika kwa neema ya mungu.
Mungu haiandikwi kwa herufi ndogo.
Yupi labda
labda nikiacha kazi nijiajiri nitafanikiwa
Nitafanikiwa endapo nitafanya kaz kwa bidii.