Wote mmehongea sana ila mm ndio wa mwisho na ndio mshindi
Ndo hivyo hata msemaje mm mshindi tu
Zawadi iwe yakushikwa lakini mjue
Mwisho kutakua na mpangilio wa Mambo katika shughuli fulani
Umetuvurugia utaratibu wetuucku mwema wana jf lets call it a dei
Umetuvurugia utaratibu wetu
wetu hawakuwepo ndomana akajiachia.