wetu hawakuwepo ndomana akajiachia.
akajiachia kutoka juu had chin ndio mana aliumia mdomo
Udaku ni mtamu na ndo habari ya mjini.
Fuata sheria
Sizioni....!! Nadhani ulivunja utaratibu wa thread hii.Sheria zipi mbona sizioni
Wengi wape...
Watakusumbua kweli ila wape unao Wapenda...
Msafi lazima achafuke
Mikono ikichubuka hutampata wa kukusalimia