Wa mwisho ndiyo mshindi

Thibitisha kama mungu yupo,na kama yupo kazi yake nini katika dunia hii dhaifu?.Na unambie kwa nn alimuumba shetani.Kisha useme kama ameshindwa kumdhibiti shetani

Shetani amekuwa tishio mpaka basi.Sasa mungu ananyang,anyana binadamu na shetani.Wanamng,ania binadamu kila mmoja anavutia kwake.Dalili zinaonesha shetani atashinda.
 
nachotaka kusema hapa nikusa mshindi atapatikana mwakan, labda tuanze kuandika kichina
 
nachotaka kusema hapa nikusa mshindi atapatikana mwakan, labda tuanze kuandika kichina

Kichana mbona naweza sana 還月難,umeona?.Ila ngoja niache tu niandike kijerumani.Und !,wer kommt als nächste?
 
kijerumani jerumani hatimaye wakachukua kombe bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…