poorbillionaire
JF-Expert Member
- Mar 4, 2014
- 424
- 239
binadamu wana akili bana hata vichaa wanazo.
Wanazo wapi em thibitisha .
Thibitisha kama mungu yupo,na kama yupo kazi yake nini katika dunia hii dhaifu?.Na unambie kwa nn alimuumba shetani.Kisha useme kama ameshindwa kumdhibiti shetani
Hivi hujajua kuwa atashinda huyu unaesoma post yake sasa hiv?Atashinda nani humu hiv.
Kisema ni jina la jamaa mmoja hivi ambaye ni muongo balaa!!Hiv unauhakika na unacho kisema
Kisema ni jina la jamaa mmoja hivi ambaye ni muongo balaa!!
nachotaka kusema hapa nikusa mshindi atapatikana mwakan, labda tuanze kuandika kichina
Kichana mbona naweza sana 還月難,umeona?.Ila ngoja niache tu niandike kijerumani.Und !,wer kommt als nächste?
als nachste ni neno lenye asili ya kijerumani
Kijerumani ndicho hasa nilichoandika,huu mchakato nitashinda maana ntakuja na kireno
Heaven on Earth huwezi kuibuka mshindi.Basi ntakuja na kilatin.kireno ni lugha rahisi ukija nacho ujue huu mchakato atakaeibuka mshindi ni Heaven on Earth
Kilatin ni lugha ya kisheria
kisheria haustahili kuwepo hili eneo