Mtukufu ni Mwenyezi Mungu peke yake
Huu mchezo sijui utakwisha lini, nadhani atakaekuja kushinda bado hajazaliwa.
Hajazaliwa mrembo wa kufanana na Mwana wala Heaven on Earth
Ngosha bado nipo nao mkuu,wanajiandikisha BVR
Kura dili, jiandikishe ili uiadhibu serikali iliyochoka ya ccm