Wa mwisho ndiyo mshindi

HABARI.....?..
wanahitajika madalali tufanye biashara ya magodoro moja kwa moja kutoka kiwandani ,,na mchakato wao mkubwa utakuwa ni kuleta wateja wa jumla na reja reja,,, na watapata malipo kama kawaida punde wanapoleta mteja...
kwa mawasiliano zaidi 0692449416
 
Ahssante.
 
HABARI.....?


wanahitajika madalali tufanye biashara ya magodoro moja kwa moja kutoka kiwandani ,,na mchakato wao mkubwa utakuwa ni kuleta wateja wa jumla na reja reja,,, na watapata malipo kama kawaida punde wanapoleta mteja.,dalali utapata 20% kutoka kwenye 20% ya faida inayopatikana kwenye kampuni


Kwa mawasiliano zaidi 0692449416


kiwanda kipo Dar es Salaam ila huduma inapatikana Tanzania nzima hivyo hii fursa ni kwa yeyote aliye ndani ya Tanzania.


PITIA DARASA KIDOGO ILI UWEZE KUJUA BRAND YETU

[https://cdn][https://cdn][https://cdn][https://cdn][https://cdn][https://cdn][https://cdn][https://cdn][https://cdn]

Habari wanajamvi...?

kampuni ya OCEANKISS LTD, inachukua fursa ya kuwakaribisha wateja wote muweze kujipatia magodoro bora kabisa kwa gharama nzuri yenye unafuu na hii ni kwa watu wote mlio ndani ya Tanzania na nnje vile vile kwa wale mnaohitaji kuwa maagent wa godoro zetu huu ni wakati wenu tunawakaribisha sana bila kusahau wale wa reje reja : kwa mawadiliano zaidi piga 0692449416


AINA YA GODORO TULIZO NAZO

1.Oceankiss

2.Okle

3.Relax

4.Fahari


1.OCEANKISS

hili ni godoro lenye high density yaani ujazo wa kiwango cha juu zaidi kiujazo na ubora na denisity yake ni 23density


2.OKLE

hili nalo ni godoro lenye high density yaani ujazo wa kiwango cha juu zaidi kiujazo na ubora na denisity yake ni 23density


3.RELAX

hili ni godoro lenye ubora wa kiwango cha pili yaani ujazo wa kiwango chake kiujazo na ubora denisity yake ni 20density


4.FAHARI

hili ni godoro la standard kabisa na ujazo wake kiubora ni 16density


5.SPRING MATTRESS

hizi ni zile godoro za mneso mneso


hivyo kwa wale wateja wanaopenda godoro za mneso yaani spring mattress zipo


VITU VYA ZIADA KUFAHAMU KWA MTEJA

kupitia majina ya brand za godoro zetu nilizo orodhesha hapo juu....godoro zimejigawa sehemu tano

1.WOC

2.WC

3.TX

4.VQ

5.MEDICAL MATTRESS


1.WOC

ni godoro lisilo na cover kwa lugha nyeoesi godoro lililo uchi


2.WC

hili ni godoro lenye vover


3.TX

hili ni godoro lenye upindo pembeni yaani linakuwa limenkshiwa kwa upimdo pembe zote za godoro


4.VQ

hil ni godoro lililozungukwa na upindo pembeni vile vile linakuwa limenkshiwa katikati kwa kuwekwa vyumba vyumba mfano wa kashata


5.MEDICAL MATTRESS

kwa wale wenye matatizo ya mgongo hili ndiyo linafaa na hutumika kama dawa ya mgingo wako..



bila kusahau kwa wale mafundi sofa pia godoro zenu zipo


wote mnakaribishwa karibuni sana


Mawasiliano piga 0692449416

View attachment 1466972View attachment 1466973View attachment 1466974View attachment 1466976View attachment 1466977


JamiiForums mobile app


PRICES

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1467877View attachment 1467878View attachment 1467879

View attachment 1467942View attachment 1467943View attachment 1467944


[https://www][https://www][https://www]
 
Prices kwa kiswahili manaake ni bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…