Sana sana hapa JFWasiojulikana katika jamii yetu wapo wengi sana
Jf kichakaSana sana hapa JF
Kichaka kilichobeba visa vingi ndani yakeJf kichaka
Kichaka kimeteketea law motoJf kichaka
Ndani yake kuna siri iliyo fukiwaKichaka kilichobeba visa vingi ndani yake
Fukiwa ukifa ila ukiwa hai inaumaKichaka kimeteketea law moto
Ndani yake kuna siri iliyo fukiwa
Inauma kama Imani yako ni legelege...Fukiwa ukifa ila ukiwa hai inauma
Legelege hana nafasi kwenye dunia hii ataishia kuita watu wachawi.Inauma kama Imani yako ni legelege...
Wachawa wameruhusiwa kuchukua shahada huko kenyaLegelege hana nafasi kwenye dunia hii ataishia kuita watu wachawi.
Kenya wametoa kali ya mwakaWachawa wameruhusiwa kuchukua shahada huko kenya
Mwaka huu tutasikia mengiKenya wametoa kali ya mwaka
Mwaka huu mwezi April waalimu kutoka Tz watakuwa miongoni mwa wakufunziKenya wametoa kali ya mwaka
Mengi apumzike kwa amani.Mwaka huu tutasikia mengi
Amani ya nchi yetu ni wajibu mkubwa wa kila mmoja wetu kuilinda kama tunu aghali na adimu ili iweze kudumu na kutupatia mustakabali mzuri wa mafanikio ya kweliMengi apumzike kwa amani.
Duara ni mzunguko na mwenye bahati ya kuzunguka basi amependelewaKweli dunia duara
Amependelewa sana yule afuatae knanuni za MunguDuara ni mzunguko na mwenye bahati ya kuzunguka basi amependelewa
Mungu ameijalia nchi yetu nzuri ya Tanzania [emoji1241] rasilimali karibu za kila namna pamoja na ardhi kubwa yenye utajiri na rutuba, na watu wengi kama ishara kwamba fanaka hizi zinapaswa kutumika ili kukuza uchumi himilivu, maendeleo na ustawi wa raia pamoja na uimarishaji wa diplomasia thabiti na usalama wetu kitaifa na kimataifaAmependelewa sana yule afuatae knanuni za Mungu
Kimataifa waTanzania tuna hadhi na itifaki zinajieleza...Mungu ameijalia nchi yetu nzuri ya Tanzania [emoji1241] rasilimali karibu za kila namna pamoja na ardhi kubwa yenye utajiri na rutuba, na watu wengi kama ishara kwamba fanaka hizi zinapaswa kutumika ili kukuza uchumi himilivu, maendeleo na ustawi wa raia pamoja na uimarishaji wa diplomasia thabiti na usalama wetu kitaifa na kimataifa
Zinajieleza kwa sababu mfumo ambao utawala wa JPM umeuweka ni thabiti na wenye makusudi mazima ya kuchechemua mabadiliko makubwa na ya kasi katika kila nyanja ya maendeleoKimataifa waTanzania tuna hadhi na itifaki zinajieleza...
Maendeleo yapo na yanaonekana kadri ya juhudiZinajieleza kwa sababu mfumo ambao utawala wa JPM umeuweka ni thabiti na wenye makusudi mazima ya kuchechemua mabadiliko makubwa na ya kasi katika kila nyanja ya maendeleo
Juhudi na maarifaMaendeleo yapo na yanaonekana kadri ya juhudi