fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,255
- 3,889
chemchem ya mavi chumviKuzuri kwenye kurusha chemchem..
Chumvi ya mawechemchem ya mavi chumvi
Mawe yaliporomoka ktk mafuriko...Chumvi ya mawe
Mafuriko yanaleta maafa sanaMawe yaliporomoka ktk mafuriko...
Sana sana kwa watu ambao sio waelewa wanaweza kudhan kuna matatizo hapaMafuriko yanaleta maafa sana
Hapa kuna tatizo mathalani wale ambao tayari wamejijingea hofu isiyokuwepo hasa juu ya korona, wakati JPM amesema tuchape kazi huku tukimtanguliza MaulanaSana sana kwa watu ambao sio waelewa wanaweza kudhan kuna matatizo hapa
Maulana anipe nini zaidi Tanzania nchi mamaHapa kuna tatizo mathalani wale ambao tayari wamejijingea hofu isiyokuwepo hasa juu ya korona, wakati JPM amesema tuchape kazi huku tukimtanguliza Maulana
Maulana nae pia tunampa mizigo isiyomuhusu,maana tunatakiwa sisi kama waungwana tujikinge na corona,JPM anakosea sana,alitakiwa awaambie wananchi wachape kazi na kuchukua tahadhari na kujikinga.Hapa kuna tatizo mathalani wale ambao tayari wamejijingea hofu isiyokuwepo hasa juu ya korona, wakati JPM amesema tuchape kazi huku tukimtanguliza Maulana
Maulana nae pia tunampa mizigo isiyomuhusu,maana tunatakiwa sisi kama waungwana tujikinge na corona,JPM anakosea sana,alitakiwa awaambie wananchi wachape kazi na kuchukua tahadhari na kujikinga.
Ukimwi ni Moja ya magonjwa tunayoishi nayo kila siku...Kujikinga haswa.. kama ilivyo kwenye kujikinga na ukimwi
Ukimwi ni Moja ya magonjwa tunayoishi nayo kila siku...
Ukuni mbichi hauivishi chakulaSiku hizi nyimbo zetu hazina maadil, utasikia inama nipitishe ukuni
Ukuni mbichi hauivishi chakula
Hivi Basata wanahakiki kweli nyimbo za wasaniiChakula chenye kuimalisha kinga ya mwili kinahitajika sana sasa hivi
Wasanii wanahakikiwa kwa video ila maudhui hayaangaliwiHivi Basata wanahakiki kweli nyimbo za wasanii
Hayaangaliwi mavazi na urembo ktk usailiWasanii wanahakikiwa kwa video ila maudhui hayaangaliwi
Usaili ulikuwa mzuriHayaangaliwi mavazi na urembo ktk usaili
Mzuri hakosi mapungufu...Usaili ulikuwa mzuri
Mapungufu ya nguvu za kikeMzuri hakosi mapungufu...
Kike'ngele alichofungwa pake mweusi..Mapungufu ya nguvu za kike