3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Afikishaye ujumbe aliopewa kwa mhusika bila kuongeza lolote ni mjumbe mwemaUrafiki siu afiki
Afiki tu maana haya maisha bila rafiki hayaendiUrafiki siu afiki
Mwema machoni mwako rohoni hasafishiki.Afikishaye ujumbe aliopewa kwa mhusika bila kuongeza lolote ni mjumbe mwema
Hayaendi bila furaha urafiki uadui.Afiki tu maana haya maisha bila rafiki hayaendi
Uadui kati yetu una faida ganHayaendi bila furaha urafiki uadui.
Kufanikisha lengo hasa kwa watu wanajifanya wanajuaUadui kati yetu una faida gan
gani hakuna, lakini urafiki ni kukaribisha adui ndani.Uadui kati yetu una faida gan
Wanajua nn,na wakati hawajui kituKufanikisha lengo hasa kwa watu wanajifanya wanajua
Ndani yetu tumejawa na chuki ndio maana urafiki unakuwa wa mashakagani hakuna, lakini urafiki ni kukaribisha adui ndani.
Ndani yetu tumejawa na chuki ndio maana urafiki unakuwa wa mashaka
hao unaowasema ndio tunaishi nao kila siku kwenye maishaMashaka yanakuja pale unapoifanya chuki ya mwingine isiyokuwa na msingi wala mantiki iwe sehemu ya maisha yako mwenyewe. We must mind our own business as long as we care for others; wengine wasemacho juu yetu is none of our business --- kama mambo yetu mazuri yanawapa taabu na wakati mgumu, basi sisi hatuna la kuwasaidia watu kama hao
Maisha yepi ya juu ya mgongo wa ardhi au ndani ardhi?hao unaowasema ndio tunaishi nao kila siku kwenye maisha
Maisha ni kama maji na sukari na chumvi --- tunaishi na watu wanaoongeza ama sukari au chumvi majini; sasa tunapaswa kuongeza ladha tamu ili ibatilishe uchungu wanaoweka wahujumu wa maisha mazuri, yenye furaha na raha. You always get what you put into life. Garbage in, garbage out. Ukiweka furaha, amani, na mafanikio, basi utavuna furaha, amani na mafanikio, tena kwa wingi. Ndiyo maana JPM anatuambia tuilinde amani yetu tusiruhusu kamwe Wabelgiji, London & Washington waiteke tutajutahao unaowasema ndio tunaishi nao kila siku kwenye maisha
Tutajuta Majuto ya firauni kuvuka bahari..Maisha ni kama maji na sukari na chumvi --- tunaishi na watu wanaoongeza ama sukari au chumvi majini; sasa tunapaswa kuongeza ladha tamu ili ibatilishe uchungu wanaoweka wahujumu wa maisha mazuri, yenye furaha na raha. You always get what you put into life. Garbage in, garbage out. Ukiweka furaha, amani, na mafanikio, basi utavuna furaha, amani na mafanikio, tena kwa wingi. Ndiyo maana JPM anatuambia tuilinde amani yetu tusiruhusu kamwe Wabelgiji, London & Washington waiteke tutajuta
Tutajuta Majuto ya firauni kuvuka bahari..
Wazi haswa na dhahiri tunashukuru Kuona hadhi na ufahari !!Bahari ambayo imevukwa na serikali hii ya awamu ya tano, kwa mihula yote miwili, ina kina kirefu kiasi kwamba asingeweza kiongozi mwingine kama angekuwa dhaifu na legelege --- nchi yetu ilikuwa shamba la bibi, kiota cha kila aina ya ndege. Angalau sasa sura na ramani ya nchi yetu inaonekana wazi
Ufahari wako ni wa muda tu hivyo jifunze kuwajali wanaokuzungukaWazi haswa na dhahiri tunashukuru Kuona hadhi na ufahari !!
Wanaokuzunguka ndo watakaokuzikaUfahari wako ni wa muda tu hivyo jifunze kuwajali wanaokuzunguka
Watakaokuzika huwajui maana hutawaonaWanaokuzunguka ndo watakaokuzika
Hutawaona kwa sababu watakuwa wamefika mbaliWatakaokuzika huwajui maana hutawaona