Single life ni nzuri endapo unaamuwa kuikubali!Sana sana ukioa utaishia kupata stress tu, heri ubaki single.
Kuikubali ni juu yako ama kuikataa piaSingle life ni nzuri endapo unaamuwa kuikubali!
Kuikubali ni juu yako ama kuikataa pia
Zake nyingi ni kukosa mtu wa kuwa karibu yakoPia singleness ina karaha zake
Yako mambo mengi yanayoibuka sasa kutokana na kutoonekana RaisZake nyingi ni kukosa mtu wa kuwa karibu yako
Rais wetu hajulikani alipo hadi leoYako mambo mengi yanayoibuka sasa kutokana na kutoonekana Rais
Leo ndio nimeamini kweli biashara matangazo,maana nimefanikiwa kuuza Microwave Oven zaidi ya kumi kwa kuzitangaza Jamii Forums....Asanteni sana wadau wote na karibuni tena.Rais wetu hajulikani alipo hadi leo
Tena nakushauri uitangaze sana hiyo biasharaLeo ndio nimeamini kweli biashara matangazo,maana nimefanikiwa kuuza Microwave Oven zaidi ya kumi kwa kuzitangaza Jamii Forums....Asanteni sana wadau wote na karibuni tena.
Biashara hiyo ya macro oven inafaida Sana,kwani watu wengi huitaji kwalengo la kupashia chakula kwa haraka,hususani kwa wauza chakula.Tena nakushauri uitangaze sana hiyo biashara
Chakula ni kitu muhimu kwa mwili wa binadamu, kama ilivyo fuel kwenye magari.Biashara hiyo ya macro oven inafaida Sana,kwani watu wengi huitaji kwalengo la kupashia chakula kwa haraka,hususani kwa wauza chakula.
Magari ni usafiri unao rahisisha safariChakula ni kitu muhimu kwa mwili wa binadamu, kama ilivyo fuel kwenye magari.
Safari ya maisha ni fupi
Fupi kwa wenye maisha mazuriSafari ya maisha ni fupi
Mazuri yake ni machache ukilinganisha na mabaya yakeFupi kwa wenye maisha mazuri
Yake imeishia hapo, tuangalie yetu sasaMazuri yake ni machache ukilinganisha na mabaya yake
Sasa usingizi wenyewe kwani unakuja basi?Yake imeishia hapo, tuangalie yetu sasa
Basi hatunae tenaSasa usingizi wenyewe kwani unakuja basi?
Tena tusiishi kwa hofu wala moyo wa kukata tamaa -- kumbukumbu & nembo ambayo ameiacha Rais wetu itaendelea kung'aa daima. Nchi yetu haiko tena kama ilivyokuwa awali -- shamba la bibi.Basi hatunae tena
Bibi anaweza akaruhusu shamba lake lichezewe tena na wajukuuTena tusiishi kwa hofu wala moyo wa kukata tamaa -- kumbukumbu & nembo ambayo ameiacha Rais wetu itaendelea kung'aa daima. Nchi yetu haiko tena kama ilivyokuwa awali -- shamba la bibi.
Wajukuu wasio na makuuBibi anaweza akaruhusu shamba lake lichezewe tena na wajukuu