Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Sana itavutia pakiwa na vburudsho
Kama juice barid ya parachich yeny limao 😋Viburudisho kama?
😋limao + pilipili vikitiwa kwenye supu nikala na chapati tamu kama zile anapikaga mama mtumishi Saint Anne ntahisi dunia ni yanguKama juice barid ya parachich yeny limao 😋
[emoji39]limao + pilipili vikitiwa kwenye supu nikala na chapati tamu kama zile anapikaga mama mtumishi Saint Anne ntahisi dunia ni yangu
Yako nyumba iko mkoa gani?Yangu haiwezi kuwa yako
Mkoa gani Tanzania unazalisha Korosho kwa wingi?Yako nyumba iko mkoa gani?
Nalog off
Wingi wa hzi mvua ztaleta ongezeko la mimbaMkoa gani Tanzania unazalisha Korosho kwa wingi?
Mimba usawa huu tuwaachie vijanaWingi wa hzi mvua ztaleta ongezeko la mimba
Mimba usawa huu tuwaachie vijana
Kweli mvua zimenyesha sana leoVijana wenyewe wanakula chipsi mayai, wataweza kweli?
Kweli mvua zimenyesha sana leo
Kuamka mapema ni changamotoLeo imenyesha haswa mpaka nikachelewa kuamka
Kuamka mapema ni changamoto
Mchezo wa juzi simba walibahatishaChangamoto zinazokuja kazini si mchezo
Mchezo wa juzi simba walibahatisha
Yanga siipendi bora simbaWalibahatisha vipi na wameshinda goli 3, au wewe ni Yanga?
Yanga siipendi bora simba
Duniani tunapita makazi yetu mbinguniSimba wa Manyara ndio simba pekee wanaopanda miti duniani
Mbinguni tutafka tumechoka saaanaDuniani tunapita makazi yetu mbinguni
Sana na mahangaiko ya duniaMbinguni tutafka tumechoka saaana