Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mitikasi yote itakapotick,utakuwa ni wakati mzuri kwangu[emoji23] kwenda kuishi Arusha na baba mtumishi.Mbali na kwamba Mbeya kuna baridi 'kweri kweri', wanajamvi msiache kujumuika nasi mimi na Saint Anne pale mitikasi yote itakapo tick
mtumishi wa MunguMitikasi yote itakapotick,utakuwa ni wakati mzuri kwangu[emoji23] kwenda kuishi Arusha na baba mtumishi.
Mungu ni mwema kila wakatimtumishi wa Mungu
Wakati wa kutafuta mwanamke wa kuoa umefikaMungu ni mwema kila wakati
Umefika kweli, em fanya mpango ukimpata uje uchukue mchangoWakati wa kutafuta mwanamke wa kuoa umefika
Mchango wako ni wa mhimu sana kufanikisha hili tukio la kihistoriaUmefika kweli, em fanya mpango ukimpata uje uchukue mchango
Lenie yuko poa kabisa, habari ya wewe mkuu
Nafurahi sana ninapoona WADAU wote wameamka salama, Mungu ni mwema siku zoteI feel guru guru pia nikikuona mkuu kwenye huu uzi wetu pendwa nafurahi
Siku zote tunaalikwa kutenda mema na kuwajali wenzetuNafurahi sana ninapoona WADAU wote wameamka salama, Mungu ni mwema siku zote
Wenzetu waliotangulia mbele za haki tuendelee kuwaombea wapumzike kwa AMANISiku zote tunaalikwa kutenda mema na kuwajali wenzetu
AMANI ya Bwana iendelee kuwa nao.Wenzetu waliotangulia mbele za haki tuendelee kuwaombea wapumzike kwa AMANI
Kuwaangazia popote pale walipo lala mbele za hakiAMANI ya Bwana iendelee kuwa nao.
Raha ya milele uwape Ee Bwana, na mwanga wa milele uendelee kuwaangazia [emoji120]
Natembea ni marehemu, ama kwa hakika.Kuwaangazia popote pale walipo lala mbele za haki
Hakika mimi natembea ni marehemu
Kuishi kwingi kuona mengiNatembea ni marehemu, ama kwa hakika.
Kwanini basi nijikweze? kwanini nimuonee mtu? kwanini nivimbe mbele za watu wengine?
Yafaa nini mimi kuwa chanzo cha maumivu, mateso na huzuni kwa mwanadamu mwenzangu?
Mungu atupe kukumbuka KILA SIKU kwamba;-
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake za kuishi si nyingi,
Naye hujaa taabu, yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa,
Hukimbia kama kivuli,wala hakai kamwe.
Tukiisha kuyajua haya na kuyazingatia, Dunia itakua sehemu nzuri sana kuishi.
Mengi yameshasemwa, kilichobaki ni utekelezajiKuishi kwingi kuona mengi
Utekelezaji hamna kwa kweliMengi yameshasemwa, kilichobaki ni utekelezaji
Lenie ameamka salama kabisa, vipi wewe mpendwa