Mshindi wa UEFA mwaka huu atakua Chelsea.Uishe vipi kabla sijawa mshindi😁
Zinaonyesha Liverpool au kipara anatwaa ubingwa.Mshindi wa UEFA mwaka huu atakua Chelsea.
Dalili zote zinaonesha
Nasahau kumuomba hela,na yeye amesahau kutugawia aliotuomba kura na tukampa ushirikiano kuutembeza uzi😂😂Ameingia mitini tusimwombe pesa zake.
Ule uzi wake huwa nasema ntausoma kila leo nasahau
Uzi ntautengea muda wake.Nasahau kumuomba hela,na yeye amesahau kutugawia aliotuomba kura na tukampa ushirikiano kuutembeza uzi😂😂
Mwenzetu aliupiga mwingi hadi akina Melo wakampa mifwedha.Uzi ntautengea muda wake.
Lakini anaonekana ana brain safi sana yule mtumishi mwenzetu
Soda za mama mtumishi zitapatikana nchi ikishauzwa kila mmoja apewe chakeMwenzetu aliupiga mwingi hadi akina Melo wakampa mifwedha.
Hivi baba mtumishi wewe hukuandika jamani angalau tungepata hela za kunywea soda za mama mtumishi😂
Uzi ukajitwalia ushindi japo watu wengi walijitahidi kuupiga mwingi kwenye nyuzi zao lakini wapi😂Soda za mama mtumishi zitapatikana nchi ikishauzwa kila mmoja apewe chake
Competive writings kama zile zinahitaji utulivu wa hali ya juu sana na muda wa kutosha.
I can imagine namna mtumishi Abiranna ali sacrifice kwenye ule uzi
Wapi Grace Matata amepotelea?Uzi ukajitwalia ushindi japo watu wengi walijitahidi kuupiga mwingi kwenye nyuzi zao lakini wapi😂
Mtumishi huyu ni matata kweli kama ubini wake.Wapi Grace Matata amepotelea?
Naskiza huu wimbo wake hap....ni fundi sana huyu mtumishi
Wimbo mzuri wa kuanzia siku nzuri ya leoMtumishi huyu ni matata kweli kama ubini wake.
Nimejikuta natabasamu huku nikiisikiliza kazi yake.
Kiongozi Baba Mtumishi ahsante sana kwa wimbo
Leo nmepata jikoWimbo mzuri wa kuanzia siku nzuri ya leo
Jiko lako ukilitunza litadumu, hongera sana mkuuLeo nmepata jiko
Poa kabisa kwa jeuri ya chama. Heri ya mwaka mpya wakuuMkuu umeadimika sana siku hizi, naamini uko poa
Pamoja sana kamandaWakuu natumai mmeamka salama.
HARUFU mimi nipo, ni vile tu nimekumbwa na kauvivu kuingia huku siku hizi ila tuko pamoja
Mtumishi huo wimbo mzuri sana.Wapi Grace Matata amepotelea?
Naskiza huu wimbo wake hap....ni fundi sana huyu mtumishi
Wimbo bora kabisa huu, mkuuMtumishi huyu ni matata kweli kama ubini wake.
Nimejikuta natabasamu huku nikiisikiliza kazi yake.
Kiongozi Baba Mtumishi ahsante sana kwa wimbo