Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
πππUmeanza kugundua watu hawapo interested kabisa na kilimo cha kijani?
Wengi wameshaweka jembe magebani tayari kwa kuondoka
View attachment 2079733
Basi akina mama huko masokoni wana hasiraπππ
Kuondoka wapi bwanaπ€£π€£π€£
Nimechoka kucheka,niache basiπππ
Ukawagonga!Basi akina mama huko masokoni wana hasira
Wanadai wamepigwa na kitu kizito kumbe ni mpira umepigwa mwingi ukatoka nje ukawagonga
Mshindi napewa nini?Ukawagonga!
Pep una nini na mbavu zangu?π€£π€£π€£
Basi baba,wewe ni mshindiππ
Nini unataka upewe?Mshindi napewa nini?
Upewe nini uwe wangu?Nini unataka upewe?
Wangu moyo unahitaji upendo wako tu ili niwe wako.Upewe nini uwe wangu?
Upendo wangu kwako ni dhambi?Wangu moyo unahitaji upendo wako tu ili niwe wako.
Sihitaji kingine zaidi ya upendo.
Najiona nikikupenda kupita kiasiπ€¦ββοΈUpendo wangu kwako ni dhambi?
Maana kama ni dhambi...basi naenda kuzimu hivi hivi najiona
Kiasi gani nipewe niache kukupenda?Najiona nikikupenda kupita kiasiπ€¦ββοΈ
Priceless love that you have given me i promise to give you the same or even more than that.Kiasi gani nipewe niache kukupenda?
Hakuna....my love for you is priceless
This world has given me a lot of good & bad moments...Priceless love that you have given me i promise to give you the same or even more than that.
I love you ,,you're my happiness in this world.
Anne is grateful to meet a loving man[emoji6]This world has given me a lot of good & bad moments...
The best of all? meeting mtakatifu Anne
Kiswahili ni lugha ya taifa letuWorld ndio dunia kwa kiswahili
Taifa letu, nyumbani kwetuKiswahili ni lugha ya taifa letu
Kwetu mafiakisiwani hakuna maendeleoTaifa letu, nyumbani kwetu
Maendeleo hayana chamaKwetu mafiakisiwani hakuna maendeleo
Tayari kimeumana hukoChama yupo simba tayari