yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Vipi kuhusu katiba mpya?Nane ni namba inayosomeka vile vile hata uigeze vipi
Mpya hawaitaki wanatulazimisha tukomae na ile chakavuVipi kuhusu katiba mpya?
Chakavu haitatuvusha salamaMpya hawaitaki wanatulazimisha tukomae na ile chakavu
Salama hatutoipata awamu hiiChakavu haitatuvusha salama
Hii awamu siielewi elewi kabisa, yaani ndani ya muda mfupi kuna mengi yametokeaSalama hatutoipata awamu hii
Nalog off Z
Yametokea mambo ya ajabu sana.... Dah mawese bana[emoji23][emoji23] eti mtu confortabe kabisa Anasema uchumi umeshuka kwa sabab ya Mpango wa MUNGU[emoji23][emoji23]Hii awamu siielewi elewi kabisa, yaani ndani ya muda mfupi kuna mengi yametokea
Hili jambo halikubaliki, inabidi tuonyeshe mapema hili kwa vitendoYametokea mambo ya ajabu sana.... Dah mawese bana[emoji23][emoji23] eti mtu confortabe kabisa Anasema uchumi umeshuka kwa sabab ya Mpango wa MUNGU[emoji23][emoji23]
Dah hili linchi hili[emoji51][emoji51]
Vitendo ni bora kuliko manenoHili jambo halikubaliki, inabidi tuonyeshe mapema hili kwa vitendo
Maneno vitendoVitendo ni bora kuliko maneno
Nalog off Z
Vitendo vya kipumbavu ndiyo donda kuuManeno vitendo
Donda kuu halisikii dawaVitendo vya kipumbavu ndiyo donda kuu
Dawa ya moto ni motoDonda kuu halisikii dawa
Nalog off Z
Moto umezuka tena sokoniDawa ya moto ni moto
Sokoni kuna siri gani na matukio ya moto!Moto umezuka tena sokoni
Inayoendelea hapa ni hali ya taharukiSokoni kuna siri gani na matukio ya moto!
Bila shaka kuna hujuma inayoendelea
Taharuki pia yaweza kujitokeza katika hali ya kawaidaInayoendelea hapa ni hali ya taharuki
Kawaida yetu asubuhi lazima tusalimiane na majiraniTaharuki pia yaweza kujitokeza katika hali ya kawaida
Majirani zako, Ndugu, Jamaa, na MarafikiKawaida yetu asubuhi lazima tusalimiane na majirani
Marafiki zangu nawapenda kwa shida na rahaMajirani zako, Ndugu, Jamaa, na Marafiki
Shida na raha ni sehemu ya MaishaMarafiki zangu nawapenda kwa shida na raha