Wa mwisho ndiyo mshindi

Me nimemuelewesha mchizi hapo juu kwa kutumia mantiki ya uzi.
we mpotezee unajua hatupo sawa katika uelewa na kufikiria sasa ukija kwenye mitandao huku basi we kuwa teyal kukutana na watu wa kila aina .

na wala usiwashangae sana na wala wasikuumizwe kichwa sana ndo walivyo na source ya yote ni malezi au mfumo wa maisha wa jamii wanayotoka
 
Wanayotaka wanawake katika mapenzi lakini hawawezi kusema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…