Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimeyahitimisha, nikauli anayotakiwa kutoa aliyeanzisha uzi.
Wangu unakuja kwamba tunaongozwa na dhaifu
mawazo ndio chanzo cha matokeolock haitoki bar ladba upunguze mawazo
Natural huweza kuproduce artificial lakin artificial haiwez kuproduce natural
zaidi yenu ninyi nyote ni mimi kwani namaliza hili gemu muda huu nipewe zawadi yangu am a finisher.
udhaifu hauna tofauti na matopetope
Finisher huwezi kuwa wewe.
Thread hii bado ipo?Wewe unaejiita finisher ndo kwanz umeanzisha thread
Thread hii bado ipo?