Tanzania au Tanganyika? Maana hatakanyaga Zanzibar....Obama karibu tanzania
wakoloni wakirudi TanZania leo watashangaa jinsi tulivyoua reli ya kati
kati imefanya nini sentensi haijakamilika mkuu
Hujaielewa kwa kuwa hiyo ipo hivo hapo juu. Nilikosea baadho ya herufi tuuuuu.....
tuuuuu..... Maana yake nini?
Tanzania ni nchi yenye neema