Ukweli sikuzote utabaki kuwa Ukweli japo haupendwi na wale wanaoupindisha siku zote huishia kuumbuka machoni mwa hadhira ,ona sasa ukweli wa jasusi ambae anapasua vichwa vya mabosi wake CIA huyu ni Edward snowden.
Tabia nchi, mambo ya kata mti panda mti kwa Afrika, kata miti jenga Miji, Viwanda, n.k. kwa Ulaya.Theluji ya mlima kilimanjaro inapungua kwa kasi sana kwa mujibu wa wanamazingira wa mabadiliko ya tabia nchi
Ulaya ulaya hata bongo ukiwa na mapene basi ni ulaya tosha
nini ilisababisha mpakasaivi hakuna mshindiTosha ni airtel yatosha nyingine ya nini.
tiGo!
Astaghfirullah
Wao hawajafunga mwezi mtukufuAstaghfirullah watu wamekufuru hawa yaani hawamuogopi muumba wao
Nchi kuendelea haiitaji ubunifu sana, tunahitaji maendeleo ya kweli kwa jamii, hapo mawazo mazuri yanahitajika, mchango wa mawazo toka kwa vijana mahili unahitajika kutubadilisha mtazamo kama unaweza kutusaidia ndugu kilaboymawazo mazuri huleta maendeleo ya nchi