Kilaboy. Majina mengine bwana!
Bwana ndiye muweza wa yote
Maji ni uhai
Ha ha haaa. We ndo ushaharibu haswaaa. Kwa mtaji huu mshindi hapatikani mpk 2015<br />By Only Mwombeki<br />
Maji ni uhai
<br />
uhai ndiyo kila kitu ila huu mchezo ushaingia shubiri maana watu hawafuati sequence kabisa so najitoa rasmi.
Eh! Mbona umearibu mchezo.
Udhaifu wa serikali ya ccm ndo umetufikisha hapa tulipofikaUmasikini umeletwa na serikali ya ccm dhaifu
makamu wa raisi wa Tanzania nasikia ni msomi wa masuala ya Nyukilia
Mshindi kupatikana n ndoto ya mchana