Wa mwisho ndiyo mshindi

Hospitali ya Saratani imeendelea kutoa tiba ya mionzi kwa wagonjwa wa Saratani
 
saratani inazidi kuongezeka nchini Tanzania
 
Tanzania ni nchi ya amani, huyu kagame hatuna noma nae
 
ukubwa wa wabunge wetu na mambo wanayofanya unafanya nihic waliruka stage ya ukuaji ya foolish age ndo wanaianza siku hizi
 
Mie ndo wa mwisho.....nimeshindaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimeshindaaa Mimi wewe hujaangalia neno la mwisho ndio umefeli hivyo, ujue mshindi mimi.
 
muelekeo ambao wataishia kutwangana ngumi
 
mbavuni tu! ipo siku watatoana utumbo
 
Mchezo Mchezo wa kina ndungai na wanasiasa wa aina hiyo utatusambalatisha kwenye taifa letu wenyewe tuwe makini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…