ernesttuppa
Member
- Jan 19, 2014
- 12
- 2
Nipe hizo sheris
Kweli kabisa
Kabisa nini wakati bado hufuati sheria nilizokutajia
Nilizokutajia ni njia maridhawa za kuepukana na Ukimwi
Ukimwi ulikuwa gumzo miaka ya 1990
1990 ndio mwaka wangu wa kuzaliwa
Kuzaliwa !? ,Kumbe umenipita miaka minne
minne mingi sana inabidi umwe unanipa shikamoo
pe.livinuu ,amezifikisha salamu zako kwa Dada yake kipenzishikamoo dada ake pe.livinuu
pe.livinuu ,amezifikisha salamu zako kwa Dada yake kipenzi
Akili ni mali
Inaboa sana kujitia wazungu wakati mamburula