Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Kwahiyo hutaki au?Wewe na nani? 😀
Wanafuata itikadi za Aurius (Aurianism) mzushi mmoja ndani ya kanisa aliyemdogosha Yesu Kristo na Roho Mtakatifu. Uzushi wake ulidhibitiwa kwenye Mtaguso Mkuu wa Nicea, 325 AD (ili wasinune tuwawekee CE but it is the same reference).Mtu yeyote including mleta uzi naomba anielimishe why hayo madhehebu 2 ulioyataja HAYASHEREHEKEI pasaka? Msaada tafadhari
Naendelea kujifunzaWanafuata itikadi za Aurius (Aurianism) mzushi mmoja ndani ya kanisa aliyemdogosha Yesu Kristo na Roho Mtakatifu. Uzushi wake ulidhibitiwa kwenye Mtaguso Mkuu wa Nicea, 325 AD (ili wasinune tuwawekee CE but it is the same reference).
Hata essence ya "Yesu sio Mungu" ni kutokana na uzushi huo huo ambao ulikuja kukopiwa na dini nyingine baadaye. Google utapata habari zake na madhebu yanayofuata huo uzushi.
Rc Hana muda wa kutwangana na yeyote Ila hao wengine ukienda hata kwenye mahubiri yao badala ya kumzungumzia Mungu wanazungumzia rc .SDA na RC uzi wenu huu. Njooni mtwangane
Kwa baadhi ya watu wanaopenda kushadadia mambo ya wazungu na waarabu ,dini ni zaidi ya vita kwao.Ni vita eti
Thank you🙏🙏Kwa baadhi ya watu wanaopenda kushadadia mambo ya wazungu na waarabu ,dini ni zaidi ya vita kwao.
Utakuta mtu mishipa imemtoka hatari kisa dini 😆😆😆😆😆.
Happy Christmas 🎄 my love
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂SDA na RC uzi wenu huu. Njooni mtwangane
Hallelujah.....!Thank you🙏🙏
Merry christmas dearest❤️
ushahidi letaSDA wameshavurugana kuhusu Utatu Mtakatifu. Mwanzo walikuwa wanakataa concept ya Utatu Mtakatifu (Trinity), sasa hivi wanabishana kuhusu maandiko ya Ellen White. Wapo wanaosema aliukubali Utatu Mtakatifu, wapo wanaokataa na kusema kuwa alichoandika hakumaanisha kuukubali Utatu Mtakatifu
Alahu-akbarukrismas ilianzishwa na wahuni kina shetani
Sema msimamo wako kuhusu Trinity ili nikuwekee hapa msimamo wa walio tofauti na wa kwakoushahidi leta
Yote ni mema tu, sherehe ni maadhimisho tu ya kukumbuka matukio makuu, leo hii makanisa yalijaa na hata watu kukosa seat, hii inasaidia kwa kiasi fulani kupunguza matendo maovuUprotestant uliasisiwa na Martini Luther Karine ya 16 huko na ni baada ya kuto kubaliana na mambo mengi ndani ya Catholic church.
Ila Martini Luther alicopy vitu vingi mno kutoka kanisa la Roman, hii ikawa sasa haina maana hasa kwenye yale mageuzi yake.
King Henrry nae wakati anaasisi Angalican Church au Church of England na yeye pia alicopy vitu vingi sana kutoka Roman.
Sikuu kuu ya Chrstimas na hata Pasaka ni sikuuu za kanisa la Roman Catholic make ndio waasisi wake, sasa ni ajabu sana waprotestant nao kuanza kuiga na kusherekea.
Charles Taze Russell huyu ni muasisi wa Mashahidi wa Jehova mwinamo karine ya 19 miaka ya 1870 huko. Hawa mashahidi wa Yehova ukifuatilia mafundisjo yao utagundua wako tofauti sana na hawasherekei Chstimas kwa sababu wanaamini ni sherehe za kutungwa.
Eleni G White naye mwaka wa 1860 akisadiana na Mume wake na watu wengine aliasisis SDA church.
SDA church pamoja na Mashahidi wa Jehova hawa ndio hawasherekei iwe ni pasaka wala Chrstimas kwa sababu wanajua fika ni sikuu za kutunga na mbaya zaidi zilitungwa na Roman.
Ingawa pia Wayahudi na wao hawasherekei Chrtimass ila wao sababu yao ni kwamba hawaamini Yesu kama mwokozi wao.
Vipi mbona unaquote ka mstari kamoja una nia gani na chama chetu?Alahu-akbaru
Alright!Ni usiku......
Nii usiku uuuuh wa aa a sifaa
Bwana aah Yesuuu kazaliwa
Mariiiiiamu, mariaamuu uuh....
Naa Yosefuu waaamshangilia mtoto....
Marry Christmas secretarybird BRAZA CHOGO
AmenAlright!