Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaaaaaaHawa wameamua kufanya wrestling kabisa kwenye kitanda cha magogoni.View attachment 2286173
Kawaida njaa ikihamia kutoka tumboni kwenda kichwani binadamu anapata ujasiri wa ajabu haogopi hata makosa ya uhaini.Wameteseka sana hao
Hawa wameamua kufanya wrestling kabisa kwenye kitanda cha magogoni.View attachment 2286173
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mwamba akaamua aoge kabisa.View attachment 2286143
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaegesha kwenye kochi la Rais baada ya purukushani za siku nzima.View attachment 2286144
Wamevurugwaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njemba zimechill ndani ya Presidential suite.View attachment 2286145View attachment 2286146
Inaonekana waliyatamani haya maisha ya raisi ivyo wanatoa hamu yao jamani. Acheni nao wa feel Ile presidencyHawa wakulungwa wao wameamkia Gym wanapasha.View attachment 2286165
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa kwa kucheka.Wanaanda Pido la Idd.View attachment 2286152
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanauza ikulu hawa.Hawa sijui wana sainishana mkataba gani.View attachment 2286174
Kuna picha hiyo wengine wako ktk ofisi wanakagua files, yaan nimecheka hadi machozi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaonekana waliyatamani haya maisha ya raisi ivyo wanatoa hamu yao jamani. Acheni nao wa feel Ile presidency
Yaani umenichekesha na huu Ni usiku Niko mwenyewe nacheka mno. Inaonekana Ni waandamanaji wazuri Sasa hapo wachague mmoja awe raisi waoKuna picha hiyo wengine wako ktk ofisi wanakagua files, yaan nimecheka hadi machozi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa umeweka jina tayari mpaka kizazi chako kitakukubali kitajisifu hakijatokea kwenye kizazi duniYani Mimi nacheka nasaza siku tz ikitokea hivyo Mimi nitakimbilia kujiapisha na kuteua niunde serekali yangu ata kama nitaongoza siku moja nikapinduliwa
Mie nimecheka ile picha, hadi machozi, tena wako bize wenyewe na files yaan, khaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani umenichekesha na huu Ni usiku Niko mwenyewe nacheka mno. Inaonekana Ni waandamanaji wazuri Sasa hapo wachague mmoja awe raisi wao
Eti nao wanaojifanya raisi wanapitia documents za nchi zao.
Yaani mbavu Sina ujue
Hebu iweke hapa Mana iyo sijaionaMie nimecheka ile picha, hadi machozi, tena wako bize wenyewe na files yaan, khaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeamini wananchi wakiamua wanaweza.
Ngoja nikaitafute tena kule FB, maana siku save, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu iweke hapa Mana iyo sijaiona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]masikini anateseka sana duniani.Wameteseka sana hao