Wa tatu naye kanikataa! Nakosea wapi ndugu zanguni?

Bora Hata wewe Mimi aliniita mbwa .
Nikamtumia picha ya mambwa mengi halfu nokamwambia
"Onesha babako yukwapi hapa kwenye hii picha yetu ya pamoja".
Sasa hivi ndo mke huyu black mamba
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hatari
 
Tongoza yako tu ni changamoto kwa unaemtongoza🀣🀣🀣
Komaa na comedy utatoboa.
 
Kaka mbona unachekesha sana ,kwa ushauri wangu tu we nenda kafanyie kazi kipaji chako cha comedian
Is this a comedy..? Kuandika kote huku ati komedi hii!!!!! Ama kweli shetani yupo upande wangu.
 
Msalimie babu Asprin mwambie nimemuona leo mlimani city alivyokiwa anajiringisha na vischana vya Bima.
Ama zake ama zanguπŸ˜…πŸ˜…
Hahahaha dah unanionea bure asee....

Vile visichana pale usipoongea kiinglishi basi unatoka bilabila. Nami unajua tena nimesahau dikshenare yangu kwenye vikao vya kuomba kura.

Baada ya kusema hayo namalizia kwa kuomba kura yako hapa kitandani
 
Hahahaha dah unanionea bure asee....

Vile visichana pale usipoongea kiinglishi basi unatoka bilabila. Nami unajua tena nimesahau dikshenare yangu kwenye vikao vya kuomba kura.

Baada ya kusema hayo namalizia kwa kuomba kura yako hapa kitandani

Nije with au without?

Nataka nikuzamishe baharini kwenye kina kirefu πŸ˜…πŸ˜…πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Msalimie babu Asprin mwambie nimemuona leo mlimani city alivyokiwa anajiringisha na vischana vya Bima.
Ama zake ama zanguπŸ˜…πŸ˜…
Utajua na huyo mzee wako.. nipo nahangaikia zile karatasi nilizoandika essay ya mtongozo ili niziweke humu lkn naona panya wameshasemanazo!! Hata panya wananihukumu!☹️
 
Nije with au without?

Nataka nikuzamishe baharini kwenye kina kirefu πŸ˜…πŸ˜…πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
Kam wizauti
...
Weekend hii kwanini tupoteze muda kusasambuana... Kitu shwaaap kwenye mfereji wa Suez... then ndo tunaangalia vilivyomo kwenye vyupa na juu ya mkaa wa moto
 
Hivi mbona mnaona hii ni komedi..??
Angalia uandishi wako, maneno unayotumia, watu walio na milio (matatizo) huwa hawaandiki uandishi kama huo yaani wanatia huruma.. sasa wewe uandishi wako uko tofauti..
 
Angalia uandishi wako, maneno unayotumia, watu walio na milio (matatizo) huwa hawaandiki uandishi kama huo yaani wanatia huruma.. sasa wewe uandishi wako uko tofauti..
Hivi mtu kutumbukia kwenye swimming pool kama mshale ni chekesho Hilo..? Unahabari nilifikia kichwa mpk kale kasehemu nilikofikia kwenye kichwa nywele zimegoma kuota! Sasa hayo sio masikitiko..?
Hivyo kuitwa posta ni Jambo chekevu..? Je,kuitwa kiberenge je..?

Mbona mnakuwa hamtake vitu serious..
 
Utajua na huyo mzee wako.. nipo nahangaikia zile karatasi nilizoandika essay ya mtongozo ili niziweke humu lkn naona panya wameshasemanazo!! Hata panya wananihukumu!☹

Kibeeee umeamkaje?

Vipi umenusurika?

Haupo kwenye list?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…