Wa tatu naye kanikataa! Nakosea wapi ndugu zanguni?

Wa tatu naye kanikataa! Nakosea wapi ndugu zanguni?

Hahahahah,πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ 𝐧𝐒𝐦𝐞𝐜𝐑𝐞𝐀𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐫𝐒
 
I think nitafute malaika ndo atanielewa au sio..[emoji23]
Wala, work on yourself.

Kuwa smart, nukia vizuri, kuwa na swagg kidogo halafu mtoto wa kiume usiwe muongeaji ovyo ovyo.

Pia, usipende kubembeleza bembeleza mademu.Ukimweleza hisia zako na hakuelewi potezea .Yeye mwenyewe atajistukia .

Cha mwisho tafuta pesa, watakuja tu but usihongee ovyo ovyo .Mwanamke atakupendea pesa, zikiisha na yeye anaishia..
 
Wala, work on yourself.

Kuwa smart, nukia vizuri, kuwa na swagg kidogo halafu mtoto wa kiume usiwe muongeaji ovyo ovyo.

Pia, usipende kubembeleza bembeleza mademu.Ukimweleza hisia zako na hakuelewi potezea .Yeye mwenyewe atajistukia .

Cha mwisho tafuta pesa, watakuja tu but usihongee ovyo ovyo .Mwanamke atakupendea pesa, zikiisha na yeye anaishia..
πŸ˜‚πŸ˜‚ Hii ndo inaitwa elimu dunia!
 
Back
Top Bottom