lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
- Thread starter
-
- #121
HAHAAAAAAAAAAA! sasa coz biahsara ina mambo mengi basi ndo uikwepe? Kwa mantiki hio hata shule mtu hutosoma coz kuna mambo mengi ya kufaulu ama kufeli.Dada naomba usome kitabu cha poor dad, rich dad,ni kitabu maarufu kidogo nimesahau jina la mwandishi, Biashara ina factors nyingi sana for it to be successful,aina ya mtu,elimu yake ,kazi anayofanya,mazingira,miundo mbinu ya kibenki,culture ya jamii unayofanya nayo biashara na mengine mengi,so idea yako is not like 1+1=2,NO NO NO NO NO NO
Ujue mimi mwenzio mishemishe zangi ni kkooo na kitumbini daily! So maybe nimezoea kuona watu wanakuja na 10m na kumwaga razi ndani ya mda mfupi.
Sikatai wengine wanaanguka ila kuanguka ndo kujifunza unasimama tena na tena. YAANI UNGEMUONA ZAKARIA PESA ANAYOINGIZA PALE KITUMBINI UNGELIA MACHOZI!!!!!!!!!!! Hana shule kivile wala nini.