kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Zawadi inatabia ya kuamsha hamasa ya kuipata. BIKO inatoa zawaidi kwa watu 3 kati ya watu 30, 000,000. wenye uwezo wa kucheza BIKo, ndiyo maana hao watu 3 wakipa wanaoneshwa kila media ili watu 'wezembe' tuingie mtegoni pia tucheze.
Wanzanzibar wafundishwe kuipenda na kuifia nchi yao buree kabisa. Zawadi isipotumiwa vizuri inaweza kuleta madhara makubwa mbele ya safari.
Juzi Cecafa na leo zamu ya soka la ufukweni, keshokutwa, mtondogoo, ....Balaa ni pale wengine watakapokosa.
Wanzanzibar wafundishwe kuipenda na kuifia nchi yao buree kabisa. Zawadi isipotumiwa vizuri inaweza kuleta madhara makubwa mbele ya safari.
Juzi Cecafa na leo zamu ya soka la ufukweni, keshokutwa, mtondogoo, ....Balaa ni pale wengine watakapokosa.