joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
The biggest problem in africa is not resources including money, is allocation of and fair distribution of resources which in turn is affected very much by corruption, nepotism, Tribalism, impunity just few to mention, with these on place, don't expect much no matter how much money the country is making.That what you do with money , you imagin what 'you could' do with it, in the right hand of course
Pia kuna watu wa me-shrink river overflowing space/corridor kwa kujenga concrete dykes na wengine ku-block ama ku-reroute natural water channels hawa husababisha water levels ku-rise hovyo. Sababu kubwa ikiwa maji hukosa mkondo wake asili na mahali pa kupumulia mvua kidogo ikinyesha.Kumbuka haya mabasi yanapita kwenye barabara zilizokuepo, tofauti ni kwamba ndani ya barabara hizo kuna lane za BRT, hakujajengwa barabara tofauti za BRT, pia sehemu iliyojaa maji ni jangwani na hakuna daraja wala barabara iliyozolewa na maji, ila maji yalijaa karibu Dar yote ilikumbwa na mafuriko yaliyodumu kama saa mbili hivi, pale jangwani ni mto unaoingia baharini kwa hiyo maji yalijaa sana, na hili tatizo ni la miaka yote hata kabla ya Tanzania kupata uhuru, ufubuzi wa Jangwani ni kujenga barabara ya juu toka Magomeni hadi fire, ambayo ni ghali sana kwa sasa sio rahisi kwa nchi kugharimia huo mradi, ila baada ya massa mawili, maji yalikwisha na hakuna daraja wala barabara iliyozolewa, hiyo inaonyesha uimara wa ujenzi wa sehemu ile.
Acha kuzuga na lafudhi ya Kenya wakati wewe ni nyumbu mchawiPictures tupianga za mabasi ya kwenda kasi yakinywa maji mtoni kama nyumbu kwiiii kwi kwii
Mlitakiwa kunyakua tuta kutoka magomeni hadi 'faya' pale daraja la kajima pangenyanyuka kwa mita ziszopungua 12 hiyo wala siyo ghali kama mnavyotaka kuwaaminisha watu.Kumbuka haya mabasi yanapita kwenye barabara zilizokuepo, tofauti ni kwamba ndani ya barabara hizo kuna lane za BRT, hakujajengwa barabara tofauti za BRT, pia sehemu iliyojaa maji ni jangwani na hakuna daraja wala barabara iliyozolewa na maji, ila maji yalijaa karibu Dar yote ilikumbwa na mafuriko yaliyodumu kama saa mbili hivi, pale jangwani ni mto unaoingia baharini kwa hiyo maji yalijaa sana, na hili tatizo ni la miaka yote hata kabla ya Tanzania kupata uhuru, ufubuzi wa Jangwani ni kujenga barabara ya juu toka Magomeni hadi fire, ambayo ni ghali sana kwa sasa sio rahisi kwa nchi kugharimia huo mradi, ila baada ya massa mawili, maji yalikwisha na hakuna daraja wala barabara iliyozolewa, hiyo inaonyesha uimara wa ujenzi wa sehemu ile.
Tupianga pictures tuone vyenye yanakunywa maji mtoni.Acha kuzuga na lafudhi ya Kenya wakati wewe ni nyumbu mchawi
Iyo Kenyan slang sio vyenye, ni venyeTupianga pictures tuone vyenye yanakunywa maji mtoni.
Mimi mu east africa sio lazima nitokee kolomije kuongea kikolomije.
Kaka muungwani akivuliwa nguo uchutama usiendelee kusimama utadhalilika, hakuna tuta linalofika ukubwa wa hizo mita ulizosema, hata yale madaraja marefu unayoyaona kule SGR ya Kenya, ni machache sana yanayofikia hizo mita ulizozitaja, nikuulize maswali machacheMlitakiwa kunyakua tuta kutoka magomeni hadi 'faya' pale daraja la kajima pangenyanyuka kwa mita ziszopungua 12 hiyo wala siyo ghali kama mnavyotaka kuwaaminisha watu.
Eti miundombinu imara! Likituo la mabasi hayo mmelijenga kwenye mlango bahari!! ni kama mlishikiwa mtutu wa bunduki.
Watu ni wajinga sana! Watu wanafikiri tuta tu ndo suluhisho.Kaka muungwani akivuliwa nguo uchutama usiendelee kusimama utadhalilika, hakuna tuta linalofika ukubwa wa hizo mita ulizosema, hata yale madaraja marefu unayoyaona kule SGR ya Kenya, ni machache sana yanayofikia hizo mita ulizozitaja, nikuulize maswali machache
1)Ulitaka hilo tuta linyanyuliwe kwa lane za BRT tu au pamoja na barabara za kawaida zilizokuwapo?, kumbuka mkataba wa BRT ni kujenga lane tu na vituo, sio madaraja au barabara zingine
2)Kwa mfano wangefanya kama unavyopendekeza wewe kunyanyua tuta la mita 12 juu, je maji yangepitaje wakati eneo lote kati ya Magomeni na fire ni mto?
3)Gharama za kujenga tuta toka Magomeni hadi fire na kujenga daraja, ipi ni nafuu zaidi?
4) Unaweza kukadiria kwa urefu wa Magomeni hadi fire ni mita ngapi, then tulinganishe na daraja la Kigamboni au la Mkapa kule kusini?
Watu ni wajinga sana! Kaka.Kaka muungwani akivuliwa nguo uchutama usiendelee kusimama utadhalilika, hakuna tuta linalofika ukubwa wa hizo mita ulizosema, hata yale madaraja marefu unayoyaona kule SGR ya Kenya, ni machache sana yanayofikia hizo mita ulizozitaja, nikuulize maswali machache
1)Ulitaka hilo tuta linyanyuliwe kwa lane za BRT tu au pamoja na barabara za kawaida zilizokuwapo?, kumbuka mkataba wa BRT ni kujenga lane tu na vituo, sio madaraja au barabara zingine
2)Kwa mfano wangefanya kama unavyopendekeza wewe kunyanyua tuta la mita 12 juu, je maji yangepitaje wakati eneo lote kati ya Magomeni na fire ni mto?
3)Gharama za kujenga tuta toka Magomeni hadi fire na kujenga daraja, ipi ni nafuu zaidi?
4) Unaweza kukadiria kwa urefu wa Magomeni hadi fire ni mita ngapi, then tulinganishe na daraja la Kigamboni au la Mkapa kule kusini?
Source gani ilisema ni $54 bill...acha umbea.Huku Tz kuna project tuliambiwa ime cost 10B Tzs kumbe imecost 54B Tzs so difference ya 44B imeenda kusikojulikana nyie wakenya ndo mnatakiwa kushukuru kuwa na Uhuru ambaye ni transparent hiyo reli wanayosema watajenga kwa 1.5B $ when time comes audit itaonyesha 10B$ itafika time na tuta recall this
Hivi kwa uwezo huu wa waafrika katika kudadavua mambo, kweli tutapata maandeleo endelevu?, kwa sababu maendeleo ya kweli huletwa na watu, mbona afrika tunatatizo kubwa la watu kiasi hiki?, watu nikimaanisha wenye uwezo wakubadilisha utility ya natural resources tulizonazo, vingonevyo tutabaki kusema Afrika ni tajiri ya mali asili lakini uwezo wa kuzigeuza hizo mali asili kuwa fedha haupoWatu ni wajinga sana! Watu wanafikiri tuta tu ndo suluhisho.
Kiambuu na kericho lafudhi tofauti na kipsigisi hata lamu kuna kimvita huko.Iyo Kenyan slang sio vyenye, ni venye
Siwezi poteza battery charge kupiga picha minyumbu mtu.
Rudia kusoma ulichoandika naona umejipinga mwenyewe.Kaka muungwani akivuliwa nguo uchutama usiendelee kusimama utadhalilika, hakuna tuta linalofika ukubwa wa hizo mita ulizosema, hata yale madaraja marefu unayoyaona kule SGR ya Kenya, ni machache sana yanayofikia hizo mita ulizozitaja, nikuulize maswali machache
1)Ulitaka hilo tuta linyanyuliwe kwa lane za BRT tu au pamoja na barabara za kawaida zilizokuwapo?, kumbuka mkataba wa BRT ni kujenga lane tu na vituo, sio madaraja au barabara zingine
2)Kwa mfano wangefanya kama unavyopendekeza wewe kunyanyua tuta la mita 12 juu, je maji yangepitaje wakati eneo lote kati ya Magomeni na fire ni mto?
3)Gharama za kujenga tuta toka Magomeni hadi fire na kujenga daraja, ipi ni nafuu zaidi?
4) Unaweza kukadiria kwa urefu wa Magomeni hadi fire ni mita ngapi, then tulinganishe na daraja la Kigamboni au la Mkapa kule kusini?
Huwezi kutoka chama cha Vibendera ukaongea la maana kwenye Mada Muhimu kama hiiReli ya tanzania inaweza sombwa na maji anytime hata kwa mvua ya manyunyu tu!
Au hukuonanga ule mradi wa mabasi ya mwendo kasi ulivyofanyiwa kitu mbaya na maji?
Madaraja mengi tu imeonekana kushindwa ku accommodate maji ya mvua ya siku moja!
Wakenya kuweni happy na Uhuru, hii migufuli iko haitaki mutu ingine iongee! Utadhani ana own country ote ya tizz.
Hii nyang'au iko inanunua mpaka madiwani ionekane wanamaapoti kumbe anawa fool nyie wa kakamega.
Ni hayo tu kwa sasa!
Huku Tz kuna project tuliambiwa ime cost 10B Tzs kumbe imecost 54B Tzs so difference ya 44B imeenda kusikojulikana nyie wakenya ndo mnatakiwa kushukuru kuwa na Uhuru ambaye ni transparent hiyo reli wanayosema watajenga kwa 1.5B $ when time comes audit itaonyesha 10B$ itafika time na tuta recall this
Akilizo zimefungiwa lumumba hapo ulipo ka kuku alokatwa kichwa.Huwezi kutoka chama cha Vibendera ukaongea la maana kwenye Mada Muhimu kama hii
Huna unalofahamu kuhuzu ujenzi wa barabara, unachojua zaidi ni habari ya Amisa Mabote na Zari wakipigana vijembe, rudi kule kwenye eneo lako, huku umepotea njiaRudia kusoma ulichoandika naona umejipinga mwenyewe.
Yaani ni kama walipewa kujenga barabara ya brt bila kufanya upembuzi yakinifu.
Umekiri sehemu kuwa tatizo la maji kujaa pale jangwani ni la miaka mingi je mliamua kuyazamisha magari kwenye maji kwa makusudi si ndio?
NI HIVII:
Palitakiwa tuta pale full stop.
Tekeleza nilichokwambia i.e kurudia kusoma ulichoandika.Huna unalofahamu kuhuzu ujenzi wa barabara, unachojua zaidi ni habari ya Amisa Mabote na Zari wakipigana vijembe, rudi kule kwenye eneo lako, huku umepotea njia
Nimekuuliza maswali manne, hujajibu hata moja unatoa hoja juu ya hoja, huo ni mjadala gani kama sio mijadala ya Zari na Amisa Mobeto?Tekeleza nilichokwambia i.e kurudia kusoma ulichoandika.
So many contradicting facts.