white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Nchi hii ina shida kibao, badala ya kupambana nazo wanakimbilia mambo madogo ambayo huwezi kuyatokomeza kamwe!! Ila ni kutafuta sifa tu aonekane anafanya kazi!!Baada ya kuwakamata na kuwashikilia ili wasifanye kazi ile ya haramu je mmeandaa mazingira gani wezeshi ..!?
Wilaya ina matatizo lukuki lakini kiongozi anaona tatizo sugu ni machangudoa.
Serikali Ndiyo ya kulaumiwa kwakuto hakikisha jamii inaishi Kwa maadili mema yaani kwakutokuwa na mfumo Bora wa maisha ya wananchi wake Swali fikirishi, je serikali yetu imejipanga kuinua kipato cha mtu mmojammoja?Ukahaba sio matokeo ya ugumu wa maisha bali ni hitilafu kwenye mfumo wa fikra ya mtu
Wana wadhalilisha tu jana nimeona wanawapakia kwenye difenda Hawa sio wahalifuAskari wamewakamata huku wanameza mate coz sio kwa mizigo hiyo!!!
Mazingira ya kimasikhara hayo!
Mali zipo wana vaa kistaarabu huwezi kujuaNimepita Riverside jana hakuna mali kabisa
Aiseee jana nimekuona jinsi ulivyokuwa unawatafuta kwenye machimbo yao. Ukibisha natuma picha.Nimepita Riverside jana hakuna mali kabisa
Basi hitilifau zipo nyingi sana kuliko ukahaba, inabidi tuende mawizarani kutatua hili tatizo.Ukahaba sio matokeo ya ugumu wa maisha bali ni hitilafu kwenye mfumo wa fikra ya mtu
Ukahaba wa wanawake ni matoeo ya nyege zetu wanaume mengine mbwembwe.Ukahaba hautokani na ugumu wa maisha bali hitilafu kwenye fikra ya mtu
Tuma, usipotuma natuma zako ukiwa unachagua mwenye takoAiseee jana nimekuona jinsi ulivyokuwa unawatafuta kwenye machimbo yao. Ukibisha natuma picha.
Wameamua kubadili mbinuMali zipo wana vaa kistaarabu huwezi kujua
Nimeamini hii huduma shida ni mavazi tuu π
Naunga mkono hoja Serikali itambue kuwa hawa VIJANA wanaowaita Dadapoa hawafanyi ngono kwa raha na utashi wao!. Hawa ni matokea ya serikali ya CCM kuharibu ajira kwa vijana wa Kitanzania.Hana akili hata ukimuangalia TU utaona hana akili binafsi ningemuona ana akili kama angepita Kila mtaa na kuangalia wanapata wapi maji safi na salama ,hali ya biashara ikoje,barabara zikoje,usalama wa raia na Mali zao,shule watoto wanasoma vipi n.k
Labda anataka limkute la pisi Kali denti la kulee kwenye sauti ya Simba jike hapo nimekumbuka kwanini Simba Mzee hufukuzwa kwenye boma πInabidi tumtafute yeye tufumue linda zake... Kwahiyo tukajisaidie wapi.
Halafu wateja wakubwa ni hawa hawa magiant wa kwenye mfumo..Ukahaba haumalizwi kwa kutumia nguvu bali kutengeneza mazingira wezeshi ya kila mtu kujipatia kipato halali kwa shughuli za kujikimu.
Mtu kauza uji umegoma
Kauza juice zimegoma
Kauza mama lishe imegoma
Kauza mbususu imetick anaanzaje kuacha kama mazingira ya biashara zingine zimegoma?