Wala hakuna kisingizio cha ukoloni, nchi kibao zikiwemo india, korea kusini, China, n.k. zilitawaliwa lakini leo zipo mbali mno
Msione kuna hizi kelele za viongozi wanasema nchi ipo salama, uchumi upo vizuri, n.k. Ni kwamba kwao mambo yakiwa mazuri hawana motivation ya kusaidia wengine wenye shida, hawaishii hapo wana tamaa za kula mpaka misaada ya kutatua matatizo, Ni ulafi ulipitiliza.
Msione kuna hizi kelele za viongozi wanasema nchi ipo salama, uchumi upo vizuri, n.k. Ni kwamba kwao mambo yakiwa mazuri hawana motivation ya kusaidia wengine wenye shida, hawaishii hapo wana tamaa za kula mpaka misaada ya kutatua matatizo, Ni ulafi ulipitiliza.