Waafrika na suala la ubaguzi na ukatili katika soka

Namba moja ni waarabu.

Chuki zinakusumbua, ipo siku utaacha.

Ahsanteni sana Argentina kunipigia hao wahaini, tumewalipizia kisasi

Vamos Argentina πŸ‡¦πŸ‡·
Vamos Morocco πŸ‡²πŸ‡¦
 
Ona lugha za wenzenu nyie waarabu. Alichoongea mwamba hapo ndivyo ilivyo. Kule mashabiki wa Messi. Ufaransa mashabiki wa weusi wengi.

Hata sasa dish limevurugwa

Tumewanyoosha ndugu zako wahaini, pole sana nkoi bhabhaa

Argentina πŸ‡¦πŸ‡· βŒ›βŒ›βŒ›βŒ›βŒ›βŒ›
Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 

Messi kawalambisha kamasi wahaini
 
Ni ubaguzi unawatesa, Hata kama asiongeongea huyo nahodha kwani mwarabu ni lini aliwahi kupendwa! Japo waafrika sio wote wabaguzi.

Jana Messi na jeshi lake limemaliza kazi, wahaini warudi kwao
 
Wale wa MOROCCO wapo sahihi hta wangesema hawapo duniani wapo mbinguni kwangu ni sawa tu.Juhud zao zimewafikisha pale na kila nchi ilipata nafasi ya kucheza kombe la dunia,kwann ung'ang'anie kitu ambacho hakikuhusu???


NB;KILA MTU APAMBANIE NCHI YAKE
 
Mimi nimefuatilia kombe la dunia kama burudani,kwa hiyo nchi iliyochukua sawa kwa faida zao
 
Tumewanyoosha ndugu zako wahaini, pole sana nkoi bhabhaa

Argentina πŸ‡¦πŸ‡· βŒ›βŒ›βŒ›βŒ›βŒ›βŒ›
Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
Kwani Agentina nao ni waarabu wenzio. Naanza kuelewa sasa dish lilikoyumbia
 
Kwani Agentina nao ni waarabu wenzio. Naanza kuelewa sasa dish lilikoyumbia

Mmewapaka vyakutosha morocco, mkahamia kwa wafaransa kisa kuna weusi, MESSI hakuangalia sura ya mtu, wamelambishwa kamasi na ubingwa tumechukua.

Hongereni Argentina, mmesitahili ubingwa.

Hongereni Morocco, hakika mlisitahili kufika hapo mlipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…