Waafrika tuna shida sana na ndizo zinazo wafanya irene uwoya na wenzio kutokupitwa na fursa ya kufaidika na hamu yetu ya kupata miujiza na faraja.

Waafrika tuna shida sana na ndizo zinazo wafanya irene uwoya na wenzio kutokupitwa na fursa ya kufaidika na hamu yetu ya kupata miujiza na faraja.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Niliona uzi humu eti mtu anataka afarijiwe kuhusiana na yeye kupenda huduma mpy ya Irene Uwoya.

Yalianza na jamaa aliekuwa Lugombas.

Sasa ni irene uwoya kutumia ushawishi wake kupata kondoo.

Simaanishi Mungu hawezi kuinua muhuni then akawa mtumishi wake ila tusikubali wahuni watuaminishe katika uhuni tumtumikie Mungu kihuni.

Tujikumbushie kitabu cha (2 timotheo 3-4)
‭‭"Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia waalimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia. Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo."

Tujikumbushie kitabu cha (mathayo 24: 23-24)
"Basi, mtu akiwaambieni siku hizo: ‘Kristo yuko hapa’ au ‘Yuko pale,’ msimsadiki. Maana watatokea akina Kristo wa uongo na manabii wa uongo. Watafanya ishara kubwa na maajabu ya kuweza kuwapotosha ikiwezekana hata wateule wa Mungu"

Tujikubushie kitabu cha ( 2 wakorintho 11: 13-15)
"‭‭Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanaojisingizia kuwa mitume wa Kristo.Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga! Kwa hiyo si jambo la kushangaza ikiwa na hao watumishi wake wanajisingizia kuwa watumishi wa haki. Mwisho wao watapata kile wanachostahili kufuatana na matendo yao"

FIKIRIA KWA KINA USIWE SEHEMU YA MATRIX
 
Hivi nyiny wakristo uchungaji na uaskofu hamsomei kama inavyokuwa kwa sisi waislamu mtu anasoma miaka 9 na zaidi kwa kiwango cha thanawi (mwalimu wa madrasa)na 16 na kuendelea kiwango cha jaamia (chuo kikuu) ili aje kuwa sheikh?
 
Mkuu mavuno ni mengi Ila wavunaji ni wachache mno

So Irene yupo sahihi
 
Sasa ni irene uwoya kutumia ushawishi wake kupata kondoo.
Wadau wa biashara za bongo movies na bongo fleva wanatumika sana makanisani ili kuwapata kondoo.

Kama ulifatilia tamasha la mtoko wa pasaka utagundua kuna wachungaji wengi mno waliinguzwa mkenge na mdau wa bongo fleva na wakajaa tele kwenye lile tamasha lililo hudumiwa na waimbaji wa Injili waliotelekeza wenza wao, huku wakiwa wamejiremba na mawigi, mikucha na kope za bandia.

Tuwe makini shetani yupo kazini.
 
Bongo movie ishachacha Sasa wapate wapi mserereko?
Kilaamchae MUNGU hatatahayari maana Neema ya MUNGU imo ndani yake
 
Hivi nyiny wakristo uchungaji na uaskofu hamsomei kama inavyokuwa kwa sisi waislamu mtu anasoma miaka 9 na zaidi kwa kiwango cha thanawi (mwalimu wa madrasa)na 16 na kuendelea kiwango cha jaamia (chuo kikuu) ili aje kuwa sheikh?
Masheikh hawahawa nao wajua mie mtaani kwetu au hao ni wa level za BAKWATA
 
Masheikh hawahawa nao wajua mie mtaani kwetu au hao ni wa level za BAKWATA
Hapan hao ni zaid ya level za BAKWATA nenda Islamic foundation Utakutana Nao Pale Tv Imaan Kuna Mahasin Tv Ibn Taymiyyah Na Wengneo Sikusudii Walimu Wa Madrasa wa Mtaani Kwako Mkuu
 
Hapan hao ni zaid ya level za BAKWATA nenda Islamic foundation Utakutana Nao Pale Tv Imaan Kuna Mahasin Tv Ibn Taymiyyah Na Wengneo Sikusudii Walimu Wa Madrasa wa Mtaani Kwako Mkuu
Sasa hao ni sehemu ndogo sana ya masheikh wote nchini...
 
Wadau wa biashara za bongo movies na bongo fleva wanatumika sana makanisani ili kuwapata kondoo.

Kama ulifatilia tamasha la mtoko wa pasaka utagundua kuna wachungaji wengi mno waliinguzwa mkenge na mdau wa bongo fleva na wakajaa tele kwenye lile tamasha lililo hudumiwa na waimbaji wa Injili waliotelekeza wenza wao, huku wakiwa wamejiremba na mawigi, mikucha na kope za bandia.

Tuwe makini shetani yupo kazini.
Haha
 
Sasa hao ni sehemu ndogo sana ya masheikh wote nchini...
Ni kweli ndy maan wanahimizwa hao wengn nao wasome ili wawe kama wale wasiishie tu kuwa waalimu wa madrasa wanachangisha elf mbili mbili kwa mwezi, tatizo lao uvivu wa kukaa shule kusoma dini wanakimbilia mtaan mapema ukiwaona huko mtaani kwako waambie maisha mazur yapo tu warudi darasan
 
Back
Top Bottom