Waafrika Tunatia aibu, mpaka leo tunategemea misaada ya wazungu?

Waafrika Tunatia aibu, mpaka leo tunategemea misaada ya wazungu?

Ukimwi upo mpaka Marekani, Ulaya, Asia, n.k.

Tunachotofautiana waafrika wanaona ni urijali kutotumia kinga,

Mkuu, hakuna watu wanaotumia kinga kama waafrika. Wenzetu Ulaya kinga utake wewe tu, usipoitaja mwendo ni nyama nyama tu hawana habari.
 
Uvivu ndio tatizo la yote..!!
Trump aminye misaada yote, watu waache kubet wakalime..!!
 
Back
Top Bottom