Waafrika tusingetawaliwa tungekuwa wapi hii leo?

Waafrika tusingetawaliwa tungekuwa wapi hii leo?

ALEX_ANDER

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2014
Posts
570
Reaction score
816
WAAFRIKA TUSINGETAWALIWA TUNGEKUWA WAPI HII LEO? (Maoni tu, Sio Malumbano)
IMG_1457.JPG
 
Tungekuwa tunaishi maisha ya upori pori yasiyo na ustaarabu wa kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Mzungu kaistaarabisha Africa. Kutoka kwenye usokwe sokwe mpaka kwenye utimamu wa akili. Kusoma, kuvaa, kukaa darasani, mifumo ya utawala, mifumo ya fedha na biashara, vyote tumejifunza kwa mzungu.
 
Tungekuwa tunaishi maisha ya upori pori yasiyo na ustaarabu wa kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Mzungu kaistaarabisha Africa. Kutoka kwenye usokwe sokwe mpaka kwenye utimamu wa akili. Kusoma, kuvaa, kukaa darasani, mifumo ya utawala, mifumo ya fedha na biashara, vyote tumejifunza kwa mzungu.
Ethopia hakutawaliwa ina wanaishi maisha km uliyoainisha?
 
Tungekuwa kwenye kundi la mataifa yalioendelea kiuchumi na kiviwanda.
 
Tungekuwa tunaishi maisha ya upori pori yasiyo na ustaarabu wa kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Mzungu kaistaarabisha Africa. Kutoka kwenye usokwe sokwe mpaka kwenye utimamu wa akili. Kusoma, kuvaa, kukaa darasani, mifumo ya utawala, mifumo ya fedha na biashara, vyote tumejifunza kwa mzungu.
Point of correction

Money economy was introduced by the Arab traders who had trading contact with East African societies kabla ya ujio wa wareno.
 
Tungekuwa tunaishi maisha ya upori pori yasiyo na ustaarabu wa kijamii, kisiasa, na kiuchumi. Mzungu kaistaarabisha Africa. Kutoka kwenye usokwe sokwe mpaka kwenye utimamu wa akili. Kusoma, kuvaa, kukaa darasani, mifumo ya utawala, mifumo ya fedha na biashara, vyote tumejifunza kwa mzungu.
Unamwaibisha GODZILLA huko alipo
Hebu kale msasa History Form 2
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Some parts of the world which today are regarded as being developing countries once were the centres of great civilizations. The contributions of Ancient Mesopotamia and Egypt cannot go unnoticed.
 
Point of correction

Money economy was introduced by the Arab traders who had trading contact with East African societies kabla ya ujio wa wareno.
Waarabu ni mabwanyeye ndio maana fedha yao ilikuwa kwa ajili ya kuuza na kununua tu! Lakini mzungu aliifanya pesa kuwa uchumi kwa kuigeuza kwenda kwenye mifumo ya kodi, huduma, na ajira. Hiyo ndiyo maana halisi ya uchumi wa fedha.
 
Some parts of the world which today are regarded as being developing countries once were the centres of great civilizations. The contributions of Ancient Mesopotamia and Egypt cannot go unnoticed.
Pyramids za misri zina utata juu ya ujenzi wake! Hakuna mwenye uthibitisho usio na shaka kwamba pyramids zilijengwa na binadamu!

Kwa nyakati zile za kale, ni ngumu mno kwa binadamu wa kawaida kupandisha yale majabali mazito, kuyachonga, kuyasiliba na kutengeneza pyramids bila msaada wa cranes na bulldozers!
 
Unamwaibisha GODZILLA huko alipo
Hebu kale msasa History Form 2
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwandishi wa hivyo vitabu ni "Africanist" maana ame-dilute historia ili kuipooza makali. Ukweli ni kwamba, wazungu ni superior ndio maana waliweza kuliteka bara zima la Afrika, wakazivunjilia mbali tamaduni za asili za waafrika, wakawa-conquer, wakawabadili fikra na kuwafanya mtende kizungu zungu! (assimilation policy kwa mfano).

Wakatengeneza serikali, wakajenga shule na makanisa! Wakati huo, babu yako Kinjektile alikuwa hajui hata maana ya serikali! Yote hayo tukayakopi mpaka leo hii.
 
Ethopia hakutawaliwa ina wanaishi maisha km uliyoainisha?
Na wao wamejanjaruka juzi tu baada ya vuguvugu la uhuru wa nchi za Afrika, utandawazi, na kuchangamana kwa watu! Walikuwa wapori pori vile vile.
 
Na wao wamejanjaruka juzi tu baada ya vuguvugu la uhuru wa nchi za Afrika, utandawazi, na kuchangamana kwa watu! Walikuwa wapori pori vile vile.
Unamaanisha nini unaposema walikuwa wapori pori?
 
WAAFRIKA TUSINGETAWALIWA TUNGEKUWA WAPI HII LEO? (Maoni tu, Sio Malumbano)View attachment 1110923
Asee humu watu wakajipige mSasa ktk history.
Yani wazungu walikuja kutudumaza kifikra tyuu.
Kama unakumbuka history vizury kilwa ilishaanza kuwa city inayomiliki its own African currency na ilikua inaendelea kwa infrastructure toka ujio wa waarabu.
Lakin wareno wakaja kui distruct.
Asa kilwa iangalie ilivyo sasa hv.
Isingefanyiwa hvyo na wareno jiulize ingekuaje now.
Ukija kwa Ethiopia ile nchi toka nyuma ilikua ina civilization Kiukweli.
Na ndio maana wanakua kiuchumi kushinda hata baadhi ya mataifa yaliyotawaliwa.
Africa tulishaanza kuendelea kivyetuvyetu angalia states kama Songhai,Egypt n.k. Zilishaendelea na kumiliki currency zake.
Hawa mabwana wakaja kutuharibia diplomacy zetu.
Mpk wanatuachia nchi zetu zimerudi nyuma hatuelewi tuziendeshe kwa diplomacy gani. mpk leo wanatutawala kikoloni mambo leo. kutokana na kuwa tulishaharibiwa diplomacy zetu toka nyuma na tukawa njia panda tutumie diplomacy ipi baada ya kupata uhuru.
Wazungu bora wasingekuja.
Maana kuna states zilianza kudevelop km Gold coast kibiashara na kielimu pia,Mali empire tena kuna chuo kikuuu sikosei kat ya hz nchi mbili kilichengwa mabwana wakaja kutifuatifua.
Embu ikumbuke miji kama Tumbuktu na Kumbisale ilishaanza kumiliki currency zao ila mabwana wakaja zivuruga.
KAKA GODZILA EMBU KAFUATILIE HISTORY VIZURY BHANA
 
Mwandishi wa hivyo vitabu ni "Africanist" maana ame-dilute historia ili kuipooza makali. Ukweli ni kwamba, wazungu ni superior ndio maana waliweza kuliteka bara zima la Afrika, wakazivunjilia mbali tamaduni za asili za waafrika, wakawa-conquer, wakawabadili fikra na kuwafanya mtende kizungu zungu! (assimilation policy kwa mfano).

Wakatengeneza serikali, wakajenga shule na makanisa! Wakati huo, babu yako Kinjektile alikuwa hajui hata maana ya serikali! Yote hayo tukayakopi mpaka leo hii.
Jibu zuri kukujibu ni Kucheka tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
tungebaki na rasilimali bila tecknolojia yao magonjwa yanayotukumba sasa tunge kuwa tuna hadithiwa na wanaoenda ulaya na kwingine.
na tungeishi miaka mingi sana kulinganisha na hizi sumu tunazopewa kila siku zinatumaliza kidogo kidogo
 
Back
Top Bottom