Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana.

Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa yote kuvuta ni ya bara letu. Amekuwa kupitia ardhi ya bara letu.

Iweje leo baada ya kufanikiwa na kuwa tajiri namba moja duniani haisaidii Africa bara alipozaliwa na kulelewa?

Hata kuanzisha tu kiwanda cha Tesla au hata kutoa msaada hata wa billion 50 dollars kwa bara lililomfanya awe billionea na afanikiwe.

Juzi soko la hisa lilishuka akapoteza karibu dola billion 30 kwanini asingegawa Africa kuliko iyo hela kuteketea.

Jitu linafikiria kuhamia Mars na kuchezea chezea hela kwa mambo ya kipuuz tu wakati bara alipozaliwa na alipolelewa wanahitaji kupigwa jeki na tafu yeye ajali. Mama yake naye hivo hivo tu.

Tusiruhusu tena Hawa watu wachukue full advantage ya kuja kuzaa huku kwetu kutafuta mibaraka wakishapata mafanikio wanatusahau.

Afadhali Kia na Toyota wameshaanzisha magari yao ya umeme yenye bei nafuu tulione hilo choyo Elon Musk litakapoishia

Shukran ya punda ni mateke
 
Mzuka wanajamvi!

Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana.

Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa
Ww haujaona Baba amezaa tu mtoto, halafu akamtupa? Kwani kuzaliwa Africa ndio nini? Africa haijampa huo utajiri.

USA ndio imemfanikisha hivyo. Na sio wajibu wake kusaidia Africa. Ni wajibu wetu sisi kujiinua. Na hao waTz wanaoenda ughaibuni na kwao hawajengi wala ku-invest wanapatupa kabisa mbona huwaongelei?
 
Musk ni mkoloni ni kizazi cha makubulu ambao walikuja afrika kutunyonya na siyo kutusaidia. inawezekana musk mwenyewe anaona kama Kuzaliwa SA ni bahati mbaya.
 
Kwanza mwenzio anajuta sana kuzaliwa Africa.alichokifaidi Africa ni kujifunza kuvuta bangi tu.
Na bangi anaivuta kweli kweli.. at least USA unaweza ukavuta bangi bado ukatoboa vizuri sana sana kama rappers wengi including Snoop Dogg, Ice Cube etc..

Africa unabakia kuwa teja tu sababu hakuna mtu anakupa nafasi ya maisha tena ...
 
Mzuka wanajamvi!

Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana.
Kuzaliwa tu Africa ndo kigezo nani alimsomesha acha hizo hospitali nazo zingekuwa zinaongea itakuaje
 
Mzuka wanajamvi!

Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana.

Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa yote kuvuta ni ya bara letu. Amekuwa kupitia ardhi ya bara letu.

Iweje leo baada ya kufanikiwa na kuwa tajiri namba moja duniani haisaidii Africa bara alipozaliwa na kulelewa?

Hata kuanzisha tu kiwanda cha Tesla au hata kutoa msaada hata wa billion 50 dollars kwa bara lililomfanya awe billionea na afanikiwe.

Juzi soko la hisa lilishuka akapoteza karibu dola billion 30 kwanini asingegawa Africa kuliko iyo hela kuteketea.

Jitu linafikiria kuhamia Mars na kuchezea chezea hela kwa mambo ya kipuuz tu wakati bara alipozaliwa na alipolelewa wanahitaji kupigwa jeki na tafu yeye ajali. Mama yake naye hivo hivo tu.

Tusiruhusu tena Hawa watu wachukue full advantage ya kuja kuzaa huku kwetu kutafuta mibaraka wakishapata mafanikio wanatusahau.

Afadhali Kia na Toyota wameshaanzisha magari yao ya umeme yenye bei nafuu tulione hilo choyo Elon Musk litakapoishia

Shukran ya punda ni mateke
Nenda kawadai waarabu “Reparations “ kwa kuwanunua babu zenu na kuwa fanya watumwa!

Elon Musk kapata elimu Canada ndio akatoboa!! Hakusoma vyuo vyenu vya Kayumba!!
 
Na bangi anaivuta kweli kweli.. at least USA unaweza ukavuta bangi bado ukatoboa vizuri sana sana kama rappers wengi including Snoop Dogg, Ice Cube etc.. Africa unabakia kuwa teja tu sababu hakuna mtu anakupa nafasi ya maisha tena ...
Bangi anayovuta Elon Musk ni ile ya grade ya kwanza na siyo makapi yenu wanayovuta vichaa wenu!!
 
Bangi anayovuta Elon Musk ni ile ya grade ya kwanza na siyo makapi yenu wanayovuta vichaa wenu!!
Mkuu kwa hiyo huyu jamaa anakula weed, hivi hiyo teknolojia ya vyombo vya anga za juu na yeye mwenyewe ni injinia au yeye ni tajiri tu anayemwaga mpunga ku support project............
 
Mkuu kwa hiyo huyu jamaa anakula weed, hivi hiyo teknolojia ya vyombo vya anga za juu na yeye mwenyewe ni injinia au yeye ni tajiri tu anayemwaga mpunga ku support project............
Anakula ndio tena hadharani!! Hayo mambo yeye mwenyewe anashiriki!!

Ni mtu wa ajabu, ukiambiwa hamiliki nyumba huwezi amini!! Anapanga!!
 
Ndo yaleyalee,,namsomesha mwanangu aje anisaidie.Angekuwa kapuku Je ungempa mtaji huyo mwamba?
Hahahahahaha kumbe mijinga ipo mingi[emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo wazazi wako wasingekusomesha na wew ungefikia wapi..,wapende,waheshimu na uwajali utayaona mafanikio
 
Jitu linafikiria kuhamia Mars na kuchezea chezea hela kwa mambo ya kipuuz tu wakati bara alipozaliwa na alipolelewa wanahitaji kupigwa jeki na tafu yeye ajali. Mama yake naye hivo hivo tu.
I believe kwamba angekuwa amechoka nakuja kukuomba msaada usingemsaidia; Hilo suala ulilosema linatakiwa liwe pande zote Kwa anayefanikiwa na Asiyefanikiwa apewe support pia kama Amezaliwa Africa
 
Hey!! kuna jinga moja limetasfiri uzi vibaya ulichomaanisha wewe ni wageni yeye anatolea mfano wa wazazi nanukuu kauli yake, "Nasomesha mwanangu aje anisaidie" hyo kauli inamaanisha nini ndomana tunakufa maskini kwasababu ya laana furaha ya wazazi wako ndo mafanikio yako
 
Inachofurahisha Huyo jamaa ana tabia za kiswahili Sana mpaka Leo licha ya kua na pesa mafuriko ila kapanga Tandale Kwa mtogole
Hana hekalu kama Shemeji yetu Rick Ross!

Ama kweli matajiri wa ushuani hawana mbwembwe mfano Ndugu yetu Mo jitu Zima Bado linaishi Kwa baba ake na mama yake,

Hey Mzee Gulam timua mwamedi hapo nyumbani ashaota ndevu na kakupa mzigo wa mke na watoto wake hapo.

Wakapangeeee hata huko buza

Ebooooooo!
 
Back
Top Bottom