Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

Hahahahahaha kumbe mijinga ipo mingi[emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo wazazi wako wasingekusomesha na wew ungefikia wapi..,wapende,waheshimu na uwajali utayaona mafanikio
Mtoto aje aamue kukusaidia usimweke ndo kitega uchumi.Nawasaidia wazazi wangu maana ni wajibu wangu siwasomeshi wanangu waje wanilipe Bali waje wajikimu kimaisha
 
Wewe gringo acha jazba na kulialia, unataka 'kupigwa' jeki…. namna gani pale!!!
 
Bangi anayovuta Elon Musk ni ile ya grade ya kwanza na siyo makapi yenu wanayovuta vichaa wenu!!

Hakuna bangi makapi tofauti ni udongo tu, cha Arusha, cha Kizuka etc…. kitu mjani pure haichujwi kiwandani.
 
Dunia tunategemeana hata wao wakiwa wachoyo kutupa misaada tutakufa.
Wao ndio utupa dawa za maleria , condomu, scholarship, nk.
 
Mtoto aje aamue kukusaidia usimweke ndo kitega uchumi.Nawasaidia wazazi wangu maana ni wajibu wangu siwasomeshi wanangu waje wanilipe Bali waje wajikimu kimaisha

Kama unakiri kuwa unasaidia wazazi wako kama wajibu wako mbona unadhani watoto wako hawapaswi kuuvaa huo wajibu?

Au unaamini watakukuta unajimudu, kesho ina mengi tusiyoyajua…. tukiwa na nafasi tuandae pa kujishikiza.
 
Kabla ya kumlaumu, vipi wewe umeshawahi nunua hata kiti au dawati la hata elf 30 ukapeleka kwenye shule uliyosoma? Kama tu shukrani ya kusoma pale
 
Musk ni mkoloni ni kizazi cha makubulu ambao walikuja afrika kutunyonya na siyo kutusaidia. inawezekana musk mwenyewe anaona kama Kuzaliwa SA ni bahati mbaya.
Kaburu ni mzawa wa south na kawekeza south.South ya Kaburu ilikuwa na maendeleo kuliko Kwao Uholanzi.
 
Kama unakiri kuwa unasaidia wazazi wako kama wajibu wako mbona unadhani watoto wako hawapaswi kuuvaa huo wajibu?

Au unaamini watakukuta unajimudu, kesho ina mengi tusiyoyajua…. tukiwa na nafasi tuandae pa kujishikiza.
Sawa mkuu
 
Wakulaumiwa ni viongozi wa kiafrica ndio chanzo cha umasikini wetu
 
Mzuka wanajamvi!

Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana.

Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa yote kuvuta ni ya bara letu. Amekuwa kupitia ardhi ya bara letu.

Iweje leo baada ya kufanikiwa na kuwa tajiri namba moja duniani haisaidii Africa bara alipozaliwa na kulelewa?

Hata kuanzisha tu kiwanda cha Tesla au hata kutoa msaada hata wa billion 50 dollars kwa bara lililomfanya awe billionea na afanikiwe.

Juzi soko la hisa lilishuka akapoteza karibu dola billion 30 kwanini asingegawa Africa kuliko iyo hela kuteketea.

Jitu linafikiria kuhamia Mars na kuchezea chezea hela kwa mambo ya kipuuz tu wakati bara alipozaliwa na alipolelewa wanahitaji kupigwa jeki na tafu yeye ajali. Mama yake naye hivo hivo tu.

Tusiruhusu tena Hawa watu wachukue full advantage ya kuja kuzaa huku kwetu kutafuta mibaraka wakishapata mafanikio wanatusahau.

Afadhali Kia na Toyota wameshaanzisha magari yao ya umeme yenye bei nafuu tulione hilo choyo Elon Musk litakapoishia

Shukran ya punda ni mateke

My friend vipi tena 😁

Gaidi Obama na uchotara wake hakuthubutu kuisaidia Afrika badala yake akafanya unyama kwa Gadaffi, na ndiyo mwafrika huyoo na waafrika walitegemea atakuwa msaada mkubwa kwa nchi za afrika, je huyo elon musk atatusaidia nini! Kama ndugu hajakusaidia uctegemee m2 baki akusaidie sahau hilo.
 
Ww haujaona Baba amezaa tu mtoto, halafu akamtupa? Kwani kuzaliwa Africa ndio nini? Africa haijampa huo utajiri.

USA ndio imemfanikisha hivyo. Na sio wajibu wake kusaidia Africa. Ni wajibu wetu sisi kujiinua. Na hao waTz wanaoenda ughaibuni na kwao hawajengi wala ku-invest wanapatupa kabisa mbona huwaongelei?

Umeongea point babaa
 
As a Globalist sikubaliani na wewe, popote pale unapoishi na kuvuta oxygen ndio nyumbani kwako..., Hii dunia ni moja na binadamu wote as a specie hii dunia ni yetu wote..., we either survive as a unit or perish as individuals....

Tunahitaji jangwa la sahara..., tunahitaji misitu ya Kongo na Amazon (mapafu ya dunia) Tunahitaji Baridi za North Pole n.k...., kufikiri vinginevyo na umimi na usisi ndio litakuwa the end of humanity....
 
Hela zenyewe tukipewa utasikia "Raisi Samia atoa Bilion 56 kujenga Barabara yenye urefu wa kilomita 30 huko njombe"


Bora asitupe tu!
 
inawezekana musk mwenyewe anaona kama Kuzaliwa SA ni bahati mbaya.

Hizo ni hisia zako, umekaanae na kumjuwa na kumckia kama yeye kuzaliwa SA ni bahati mbaya?


Huwa nawashangaa sana watu weuc, mtu mweupe akifanya 100 mazuri, akosee moja tu mtamsakama, atapewa kila aina ya maneno mabaya, mara oh mbaguzi, ana roho mbaya, hawawapendi watu weusi na taka taka nyingi ziczo na maana yoyote. Afrika bado 2nasafari ndefu,,,kujiona tunabaguliwa/kutojikubali/kulalamika tuu, hii ki2 tiari imeshaingia damuni


Mweusi kwa mweusi kuitana KIMA itaonekana jambo la kawaida na wala si ishu

Mweupe kwa mweusi ikitokea aambiwe wewe ni KIMA, atajickiaje? Ila mweusi kwa mweusi kawaida 😁 tuacheni ubaguzi na kuwasakama weupe ilhali waafrika wenyewe hubaguana japo co wote.
 
Back
Top Bottom