Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
They used to bully him alot alipokua anasoma na pia alikua hapendi kuja kuumiza/kukandamiza watu weusi kipindi cha Apartheid so hakujoin Army,wakahamia na mama yake Canada kusoma chuo kama kusaidia aamue tu mwenyew, sijui lini Africans tutaweza kujitegemea kila siku kulalamika tu na kuomba omba. He’s going to lunch 3south-
Africa made satellites
Africa made satellites