Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

They used to bully him alot alipokua anasoma na pia alikua hapendi kuja kuumiza/kukandamiza watu weusi kipindi cha Apartheid so hakujoin Army,wakahamia na mama yake Canada kusoma chuo kama kusaidia aamue tu mwenyew, sijui lini Africans tutaweza kujitegemea kila siku kulalamika tu na kuomba omba. He’s going to lunch 3south-
IMG_4267.jpg

Africa made satellites
 
My friend vipi tena 😁

Gaidi Obama na uchotara wake hakuthubutu kuisaidia Afrika badala yake akafanya unyama kwa Gadaffi, na ndiyo mwafrika huyoo na waafrika walitegemea atakuwa msaada mkubwa kwa nchi za afrika, je huyo elon musk atatusaidia nini! Kama ndugu hajakusaidia uctegemee m2 baki akusaidie sahau hilo.
Dah mkuu kitambo sana huonekani jamvini. Hope everything is okay
 
Mzuka wanajamvi!

Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana.

Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa yote kuvuta ni ya bara letu. Amekuwa kupitia ardhi ya bara letu.

Iweje leo baada ya kufanikiwa na kuwa tajiri namba moja duniani haisaidii Africa bara alipozaliwa na kulelewa?

Hata kuanzisha tu kiwanda cha Tesla au hata kutoa msaada hata wa billion 50 dollars kwa bara lililomfanya awe billionea na afanikiwe.

Juzi soko la hisa lilishuka akapoteza karibu dola billion 30 kwanini asingegawa Africa kuliko iyo hela kuteketea.

Jitu linafikiria kuhamia Mars na kuchezea chezea hela kwa mambo ya kipuuz tu wakati bara alipozaliwa na alipolelewa wanahitaji kupigwa jeki na tafu yeye ajali. Mama yake naye hivo hivo tu.

Tusiruhusu tena Hawa watu wachukue full advantage ya kuja kuzaa huku kwetu kutafuta mibaraka wakishapata mafanikio wanatusahau.

Afadhali Kia na Toyota wameshaanzisha magari yao ya umeme yenye bei nafuu tulione hilo choyo Elon Musk litakapoishia

Shukran ya punda ni mateke
Kwani ni lazma asaidie Africa , kwani inatuhusu nn? Mfano mnona ww huisaidiii jamii iliyokuzunguka kwa hayo tu mafanikio madogo uliyonayo. Ni chaguo na Uhuru wa mtu binafsi lol
 
Hizo ni hisia zako, umekaanae na kumjuwa na kumckia kama yeye kuzaliwa SA ni bahati mbaya?


Huwa nawashangaa sana watu weuc, mtu mweupe akifanya 100 mazuri, akosee moja tu mtamsakama, atapewa kila aina ya maneno mabaya, mara oh mbaguzi, ana roho mbaya, hawawapendi watu weusi na taka taka nyingi ziczo na maana yoyote. Afrika bado 2nasafari ndefu,,,kujiona tunabaguliwa/kutojikubali/kulalamika tuu, hii ki2 tiari imeshaingia damuni


Mweusi kwa mweusi kuitana KIMA itaonekana jambo la kawaida na wala si ishu

Mweupe kwa mweusi ikitokea aambiwe wewe ni KIMA, atajickiaje? Ila mweusi kwa mweusi kawaida 😁 tuacheni ubaguzi na kuwasakama weupe ilhali waafrika wenyewe hubaguana japo co wote.
sawa
 
Back
Top Bottom