Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

They used to bully him alot alipokua anasoma na pia alikua hapendi kuja kuumiza/kukandamiza watu weusi kipindi cha Apartheid so hakujoin Army,wakahamia na mama yake Canada kusoma chuo kama kusaidia aamue tu mwenyew, sijui lini Africans tutaweza kujitegemea kila siku kulalamika tu na kuomba omba. He’s going to lunch 3south-
Africa made satellites
 
Dah mkuu kitambo sana huonekani jamvini. Hope everything is okay
 
Kwani ni lazma asaidie Africa , kwani inatuhusu nn? Mfano mnona ww huisaidiii jamii iliyokuzunguka kwa hayo tu mafanikio madogo uliyonayo. Ni chaguo na Uhuru wa mtu binafsi lol
 
sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…