Waafrika twendeni tukazoe mafuta ya chee Urusi kama wanavyofanya China na India

Waafrika twendeni tukazoe mafuta ya chee Urusi kama wanavyofanya China na India

Ukinunua hayo mafuta ya [emoji635][emoji635] bwana mkubwa [emoji631][emoji631] atakuchezesha kanyabazongo hadi uyatapike [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama wanajeuri wakachukue hayo mafuta
Mtapigishwa kwata na sebene mpata mtaapike yoteeee.....
Wajinga nyie
 
Mzigo hauna shipping permit, hauna document yoyote utapita tu? Halafu US akupe hela za msaada wewe ukanunue mafuta ya Urusi?
Yaan wajiloge tuu wachukue hayo mafuta
Biden atawapigisha kwata hadi mtaapike yoteeee......
Na vibokoo juuu plus kazi ngumuu
 
Aaah twende Urusi tukazoe mafuta ya bei nafuu ili tupate nguvu ya kulipa madeni ya Magharibi.
Tukiyagusq hayo mafuta uchumi wetu utanyongwa fasta.
Kambo la kwanza nchi zote za Ulaya na Marekani watakata misaada yote na kuondoa changizo la bajeti.
Ndani ya muda mfupi tutachakaa mnoo.
 
Uchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege

Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.

Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.

Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.
Hakuna cha bure hapa duniani utakuja tatuliwa marinda ....ata huyo china aliishawahi dhurumiwa ardhi na huyo mrusi....usijidanganye
 
Back
Top Bottom