Kama wanajeuri wakachukue hayo mafutaUkinunua hayo mafuta ya [emoji635][emoji635] bwana mkubwa [emoji631][emoji631] atakuchezesha kanyabazongo hadi uyatapike [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan wajiloge tuu wachukue hayo mafutaMzigo hauna shipping permit, hauna document yoyote utapita tu? Halafu US akupe hela za msaada wewe ukanunue mafuta ya Urusi?
Nenden Kama mna hiyo jeuriHatumuogopi.Tutaenda
Thubutuuuu mavi ya kengeHiyo kazi angekuwepo Magufuli ndio angeweza!
Hata kidogo asingewezaHiyo kazi angeiweza Chuma, huyu anafata upepo tu.
Tukiyagusq hayo mafuta uchumi wetu utanyongwa fasta.Aaah twende Urusi tukazoe mafuta ya bei nafuu ili tupate nguvu ya kulipa madeni ya Magharibi.
Mqisho wa siku angeunyonga uchumi uwe kama wa ZimbabweChuma alikuwa haogopagi wazungu kabisa
Hakuna cha bure hapa duniani utakuja tatuliwa marinda ....ata huyo china aliishawahi dhurumiwa ardhi na huyo mrusi....usijidanganyeUchumi wa China na India inazidi kupaa wakati dunia ikiyasusia mafuta ya Urusi kibwege
Afrika tumerogwa kwelikweli, hatununui mafuta ya Urusi eti tunaunga mkono shida za watu wanaotudai madeni makubwa sana wakati China na India na wajanja wengine wanaitumia fursa ya vikwazo vya mafuta kupata mafuta ya bei nafuu kutoka Urusi na kutengeneza faida kubwa.
Pamoja na kuwasaidia kuweka vikwazo lakini fedha zao walizotukopesha wanazitaka vilevile.
Afrika tusiwe mazuzu twendeni tukachukue mafuta ya Chee kutoka Urusi.