Waafrika walikurupuka kudai Uhuru

Waafrika walikurupuka kudai Uhuru

Nikipewa Tz miaka 5 tu inarank na Korea kusini,kwanza nanyosha raia mwaka mmja wote kama huyu mtoaa madaa wanakula chuma,machawa wote nasafisha

Nabaki nawatu wakazii,kilimo chote nitahakikisha kinatija kwa Raia, mashoga piga shabaa wote, viwanda vitajengwa haswa,raia mwenye ubunifuu atalindwa haswa.Barabara lami kote,marufuku kuezeka nyasi au tope,Wafisadi piga shabaa wotee,wabunge wote mshahala million 1,ununuzi wa V8 marufuku kwa serikali yangu. Nchi inakila kituu halafu tumekalia kuleana leana kipumbavu tu.
 
Nakubaliana na wewe mtoa mada!

Ukiangalia Zimbabwe ya Muingereza na hii ya sasa ni mbingu na ardhi. Ya sasa imechakaa wananchi wamechoka hawafai

Ukiangalia Afrika Kusini ya Mkabulu na hii ya sasa ni mbingu na ardhi. Ya sasa haifai si kimaendeleo si kiusalama.

Same to sisi, Kenya na hata mataifa mengi.

Alafu angalia Australia, Canada, New Zealand ambazo ziliamua kuwa sehemu ya makoloni yao zIlivyo kimaendeleo
Unaangalia wapi ? Kwa makaburu apartheid mtu mweusi haruhisiwi kutembea baadhi ya sehemu au Rhodesia under Ian Smith ?

Au kufeli kwa Rome, Great Britain na ulaya kwa ujumla kumetokana na nini (mbona race ni ileile); Au nini maana ya Ukoloni ?; Nadhani issue sio wote kuishi kwa pamoja kama ndugu bali ni baadhi (wachache) kunyonya wengine kwa mabavu
 
Wapigania uhuru wa waafrika wanaitwa Simba wa Afrika walikuwa matapeli wakubwa wazee wale.

Nasema waafrika tulikurupuka kudai uhuru hatukuwa na mipango wala nia yoyote ile ya kudai uhuru ni kama tuliendeshwa na mihemko tu kwa yale yaliyokuwa yakitokea nje ya Afrika kwa mataifa ya nje yale yaliyokuwa kinyume na ukoloni harakati zake.

Mataifa mengi ya Asia haya kweli unaweza sema yalikuwa na ile hali ya kusema ukoloni sasa basi tunataka kujisimamia na kujiendeleza ila Afrika kulikuwa na utapeli wa hawa wapigania uhuru kwa ajili ya maslahi yao.

Sehemu kubwa ya Afrika mpaka sasa bado haipo tayari kuwa huru bado kuna kugombania tu mikate utapeli wa kisiasa bado unaendelea si vyama tawala wala si vyama vinavyoitwa vya upinzani.

Waafrika bado kabisa kwa sehemu hatujitambui sijui tatizo ni nini ?

Ukiitazama Afrika ilivyo unakiri kabisa hili bara halikuwa tayari kuwa huru kulifanyika utapeli wa Wafrika wao kwa wao.
Mtu kama Mama Samia unakuta hyper man ni Mwijaku na Dotto magari.

Halafu Mtu kama Trump unakuta hyper man ni Elon Musk.

Unaona utofauti wa Africa na Mbele. Kweli tulikurupuka.

 
Nikipewa Tz miaka 5 tu inarank na Korea kusini,kwanza nanyosha raia mwaka mmja wote kama huyu mtoaa madaa wanakula chuma,machawa wote nasafisha

Nabaki nawatu wakazii,kilimo chote nitahakikisha kinatija kwa Raia, mashoga piga shabaa wote, viwanda vitajengwa haswa,raia mwenye ubunifuu atalindwa haswa.Barabara lami kote,marufuku kuezeka nyasi au tope,Wafisadi piga shabaa wotee,wabunge wote mshahala million 1,ununuzi wa V8 marufuku kwa serikali yangu. Nchi inakila kituu halafu tumekalia kuleana leana kipumbavu tu.
Kukurupuka kwenyewe ndio huku
 
Uhuru bila ukomavu wa kiakili ni kama kujichimbia kaburi, ni sawa na mtoto atake uhuru wa kujiongoza. Tukubali ni mistake ilifanyika kuwafukuza bila kujipanga kwanza ila ajabu ni kuwa hadi leo ni kama bado hatujielewi napata ulakini na uwezo wa mtu mweusi kujiongoza.
 
Trump kasema Africa itawaliwe tena, waonyeshwe namna ya kutumia rasilimali zao. Ama uongozi hafifu kwa kutumia rushwa au viongozi wenye maono ila wezi.
 
Kama unadai harakati za ukombozi wa Afrika ziliongozwa zaidi na mihemko kuliko mipango madhubuti, je, hali ya kisiasa na kiuchumi ya bara hili inathibitisha kuwa mataifa mengi hayakuwa tayari kwa uhuru wakati huo?
 
Uhuru bila ukomavu wa kiakili ni kama kujichimbia kaburi, ni sawa na mtoto atake uhuru wa kujiongoza. Tukubali ni mistake ilifanyika kuwafukuza bila kujipanga kwanza ila ajabu ni kuwa hadi leo ni kama bado hatujielewi napata ulakini na uwezo wa mtu mweusi kujiongoza.
Changamoto sana
 
Tulikurupuka sana kudai uhuru. Waafrika bado ni wajinga na hatuna akili na wapumbavu. Na kila tunavyozidi kusoma ndio tunazidi kuwa stupid. Tungewaacha wazungu watutawale tungekuwa mbali sana
 
Wapigania uhuru wa waafrika wanaitwa Simba wa Afrika walikuwa matapeli wakubwa wazee wale.

Nasema waafrika tulikurupuka kudai uhuru hatukuwa na mipango wala nia yoyote ile ya kudai uhuru ni kama tuliendeshwa na mihemko tu kwa yale yaliyokuwa yakitokea nje ya Afrika kwa mataifa ya nje yale yaliyokuwa kinyume na ukoloni harakati zake.

Mataifa mengi ya Asia haya kweli unaweza sema yalikuwa na ile hali ya kusema ukoloni sasa basi tunataka kujisimamia na kujiendeleza ila Afrika kulikuwa na utapeli wa hawa wapigania uhuru kwa ajili ya maslahi yao.

Sehemu kubwa ya Afrika mpaka sasa bado haipo tayari kuwa huru bado kuna kugombania tu mikate utapeli wa kisiasa bado unaendelea si vyama tawala wala si vyama vinavyoitwa vya upinzani.

Waafrika bado kabisa kwa sehemu hatujitambui sijui tatizo ni nini ?

Ukiitazama Afrika ilivyo unakiri kabisa hili bara halikuwa tayari kuwa huru kulifanyika utapeli wa Wafrika wao kwa wao.
Uko sahihi kabisa.
 
Tulidai UHURU kwa nia ya kuondokana na mateso na unyanyasaji wa Mkoloni, lakini hatukujua kuwa wenzetu nao wamekuwa ni wakoloni weusi na huenda hata zaidi ya wale Wazungu wa Ujerumani.

Kudai UHURU lilikuwa ni jambo zuri sana lakini hatukujua kuwa wenzetu wamakuwa wabaya mara dufu ya Wakoloni.
 
Back
Top Bottom