Waafrika wanalazimisha mafanikio ya Morocco yawe ya Waafrika wote

Umenena !! Hapa bongo tu jitazameni na ukabila wenu ndo muanza kuwasema hao wale sio waafrica kwanza weupe hata kiakili wako njema ,Wana mikakati bomba sio nyie kelele.

Hamkawii kuja na list ya makabila yenye mafanikio mbona hamsemi watanzania weny mfanikio ,kila mtu ashinde zake kwa ngozi nyeusi hata uweje wale wanaona ovyo tu, ustaarabu hatuna kazi uwizi na kubaguana wale .

Jamaa amededicate ushindi kwa mataifa ya waarabu wote ilihali Wana makabila kibao ...sasa hapa bongo mtu angetaja kabila lake ,kifupi tupambane na hali zetu .

Ubaguzi uko Africa na Tanzania Zaid ya huko ulaya wenzetu wanapendana kutoka a na ngozi zao ,ila sisi watu weusi tupu bado tunabaguana tuna safari ndefu sana.
 
Morroco for Africa kama una wivu pita hivi.
Geographically Morroco is in Africa.Those who say Morroco is for Arabs are just driven by Religious emotions, perceptions and religious indoctrination.

Morroco for Africa!

Over.
 
Hasa watanzania wana shobo sana.
Huwezi kumpangia mtu timu ya kushabikia..anaye shabikia Morroco kwa ajili ya kuiwakilisha Afrika yupo sahihi pia.

Kama timu zenu za kina Brazil, Spain, England, Portugal zimetoka mkae kwa kutulia sio kuja kunanga wa Afrika Morrocon[emoji23][emoji23]
 
Nilitaka kusema hivyo pia.
 
Na wewe ulivyo kuwa mshabiki wa nchi za ulaya na Amerika kusini kama Brazil, Uruguay, Spain, England Portugal, Belgium, Netherlands n.k ... UMETOA au ULITOA mchango gani kuwasaidia kwenye mafanikio yao???

Kwa nini ume base tu kwa mashabiki wa Morroco?

Hakuna aliyetoa mchango wowote kushabikia timu yeyote ile..kila nchi ime pambano kivyake...

Sisi kazi yetu ni ushabiki tu.Hivyo haijalishi unashabikia nchi fulani kwa kigezo kipi!

Kila mtu yupo sahihi kushabikia nchi fulani kulingana na mtazamo wake.
 
Morroco for Africa kama una wivu pita hivi.
Geographically Morroco is in Africa.Those who say Morroco is for Arabs are just driven by Religious emotions, perceptions and religious indoctrination.

Morroco for Africa!

Over.View attachment 2442727
Iko Africa lakini haipambani kwa ajiri ya Africa bali inapambana kwa ajiri ya Morocco.
 
Ubaguzi hata ndani ya familia yako upo.
 
Hakuna aliye kukataza kushabikia Morocco ninacho kataa ni nyinyi kurazimisha muwe sehemu ya huo ushindi na mafanikio yao wakati kiuhalisia ni kinyume chake.
 
Iko Africa lakini haipambani kwa ajiri ya Africa bali inapambana kwa ajiri ya Morocco.
Kila nchi inapambana kwa ajili yake si France, Croatia, Argentina, na Morroco.

Wote maslahi yao kwanza ni nchi zao pekee.

Lakini ushabiki wa mashabiki hutofautiana kwa vile kila shabiki yupo nchi zingine tofauti hizi. Hivyo kila mtu yupo sahihi kushabikia nchi aipendayo kwa kigezo chochote kile iwe mapenzi binafsi ya mtu kwa nchi husika, iwe kushare Bara(continent), iwe ujirani na ukaribu wote wapo sahihi.
 
Hakuna aliye kukataza kushabikia Morocco ninacho kataa ni nyinyi kurazimisha muwe sehemu ya huo ushindi na mafanikio yao wakati kiuhalisia ni kinyume chake.
Nani amelazimisha????

Nani amesema yupo sehemu ya ushindi wa Morroco?

Ukishabikia Let say Manchester united ikashinda utasema ulikuwepo kwenye ushindi wa Manchester united????
 
Watanzania tunasumbuliwa na Wivu ,Chuki na Nyege…
 
Tumeshakubali huo ni ushindi wa waarabu na waislamu, sisi kwa kweli tujitahidi iko siku tutakua na cha kwetu, tuache kung'ang'ania hata dini ambayo tunatukanwa waziwazi na wenye dini yao...

 
Kwani Morocco ipo bara gani ?...
 

Sawa tumewaskia waarabu wa Bongo..

 
Sawa tumewaskia waarabu wa Bongo..

Geographically Morroco is in Africa.
Those who say Morroco is for Arabs are just driven by Religious emotions, perceptions and religious indoctrination.

Morocco ipo barani Afrika.
Wanao sema ushindi wa Morroco ni kwa waarabu pia, Wana endeshwa na Mihemko na itikadi za Kidini.
 
Kwa mtazamo wangu binafsi, kuishabikia Morocco kisa inatoka Afrika naona ni utaahira. Ila kama ndo timu yako ya toka utotoni sawa
Mbona unajichanganya Sasa ?......unaandika kushabikia Morocco ni utaahira alafu unasema tena ni sawa.....

Kwani kushabikia utotoni na kushabikia ukubwani kote si kushabikia tu ?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…