Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Umenena !! Hapa bongo tu jitazameni na ukabila wenu ndo muanza kuwasema hao wale sio waafrica kwanza weupe hata kiakili wako njema ,Wana mikakati bomba sio nyie kelele.
Hamkawii kuja na list ya makabila yenye mafanikio mbona hamsemi watanzania weny mfanikio ,kila mtu ashinde zake kwa ngozi nyeusi hata uweje wale wanaona ovyo tu, ustaarabu hatuna kazi uwizi na kubaguana wale .
Jamaa amededicate ushindi kwa mataifa ya waarabu wote ilihali Wana makabila kibao ...sasa hapa bongo mtu angetaja kabila lake ,kifupi tupambane na hali zetu .
Ubaguzi uko Africa na Tanzania Zaid ya huko ulaya wenzetu wanapendana kutoka a na ngozi zao ,ila sisi watu weusi tupu bado tunabaguana tuna safari ndefu sana.
Hamkawii kuja na list ya makabila yenye mafanikio mbona hamsemi watanzania weny mfanikio ,kila mtu ashinde zake kwa ngozi nyeusi hata uweje wale wanaona ovyo tu, ustaarabu hatuna kazi uwizi na kubaguana wale .
Jamaa amededicate ushindi kwa mataifa ya waarabu wote ilihali Wana makabila kibao ...sasa hapa bongo mtu angetaja kabila lake ,kifupi tupambane na hali zetu .
Ubaguzi uko Africa na Tanzania Zaid ya huko ulaya wenzetu wanapendana kutoka a na ngozi zao ,ila sisi watu weusi tupu bado tunabaguana tuna safari ndefu sana.