Waafrika wanalazimisha mafanikio ya Morocco yawe ya Waafrika wote

Si hivyo tu bali Kwa kuongezea pia Kwa mashindano ya kombe la dunia yatayofata(2026) Africa itapeleka timu 11(thanks to Morocco) ambapo idadi hii imechangiwa na timu ya Morocco kufika nusu fainali. Je Kwa hapa ni vipi Africa haijanufaika? chance ya kushiriki michuano hii kwa kila nchi Africa imeongezeka kwa idadi ya timu kuongezeka. Wao kudedicate ushindi wao Kwa jamii Fulani haifuti uhalisia kuwa ushindi wao umeleta faida kubwa katika bara la Africa na umegusa kila nchi ya Africa yenye ndoto ya kushiriki michuano hiyo mikubwa duniani.
Wao wanaweza kusherekea ushindi wao kivyao na waafrika watasherehekea ushindi wa Morocco kwa namna walivyo guswa. by the way kauli Ile ilikuwa ya mchezaji mmoja (sio timu ) na aliomba radhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…