HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Habarini,
Ni wazi wanasiasa wa Afrika ndio maadui wa maendeleo ya Afrika kwa kuwaibia Waafrika mali na fedha kwa kujilipa mishahara na marupurupu makubwa huku waliwaachw wananchi wao wakiwa maskini wa kutupwa.
Nawaunga mkono Kenya kwa kulisambaratisha bunge na kuwasambaratisha wabunge wote huku waliharibu mali zao ambazo wamezipata kwa wizi.
Haiwezekani mwanasiasa alipwe mshahara na marupurupu makubwa kumshindaa daktari,asksri,nesi,mwalimu,nk na asilipe kodi kwa kazi gani anayoifanya?
Ni bora tuwakilishee na watemdaji wa kata na vijiji tunaoonana nao kila leo siyo mbunge ambaye hatumuoni hadi kipindi cha uchaguzi na wanajificha kwenye makanisa na misikiti ambyo ni kivuli cha wizi.
Waafrika tuwakatae wanasiasa i.e:madiwani,wabunge,nk kutuwakilisha na kutupangia maisha yetu kwani ni wezi na wapo kwa maslahi yao siyo Afrika.
Naungana na Wakenya kwa vita yao dhidi ya wanasiasa i.e:wabunge.
Mungu ibariki Afrika
Ni wazi wanasiasa wa Afrika ndio maadui wa maendeleo ya Afrika kwa kuwaibia Waafrika mali na fedha kwa kujilipa mishahara na marupurupu makubwa huku waliwaachw wananchi wao wakiwa maskini wa kutupwa.
Nawaunga mkono Kenya kwa kulisambaratisha bunge na kuwasambaratisha wabunge wote huku waliharibu mali zao ambazo wamezipata kwa wizi.
Haiwezekani mwanasiasa alipwe mshahara na marupurupu makubwa kumshindaa daktari,asksri,nesi,mwalimu,nk na asilipe kodi kwa kazi gani anayoifanya?
Ni bora tuwakilishee na watemdaji wa kata na vijiji tunaoonana nao kila leo siyo mbunge ambaye hatumuoni hadi kipindi cha uchaguzi na wanajificha kwenye makanisa na misikiti ambyo ni kivuli cha wizi.
Waafrika tuwakatae wanasiasa i.e:madiwani,wabunge,nk kutuwakilisha na kutupangia maisha yetu kwani ni wezi na wapo kwa maslahi yao siyo Afrika.
Naungana na Wakenya kwa vita yao dhidi ya wanasiasa i.e:wabunge.
Mungu ibariki Afrika