Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Hujaeleza tuko nyuma kwenye mambo gani ili tuondoe hiyo ambiguity tujue
kabisa tuchojadili, nyuma kielimu, kiuchumi, kisayansi au ulozi?
Asante kwa kunipa machaguzi machache katika swali lako,tuanze na i, Uchumi
ii, Elimu
ii, Sayansi

Karibu .
 
Sijakuelewa mkuu, fafanua kidogo upate kueleweka kiufasaha zaidi.
Sasa Umeuliza swali ambalo wewe mwenyewe hujui majibu?? Hao niliowataja ni black unajua impact yao kitika jamii?
 
Umemaliza kila kitu mkuu mungu akutuumba sawa na rangi nyeupe ile kawapendelea kila kitu
Sababu kubwa ni kuwa Sisi ni kenge kwenye msafara wa Mamba(wazungu).
Mungu katuumba na low IQ sana hata kama humu tunajiita ma GREAT THINKER.
Kuna uwezekano mkubwa Plan ya Mungu amuumbe binadamu Mzungu sisi tumetokeza tu.
 
Sasa Umeuliza swali ambalo wewe mwenyewe hujui majibu?? Hao niliowataja ni black unajua impact yao kitika jamii?
Nita ulizaje swali ambalo tayari nina majibu yake huko kutakuwa ni kusumbua tu watu.

Tuzingatie swali la thread mkuu, karibu tena.
 
Ningependa kuwakaribisha wadau wote kwa majibu yenu juu ya swali hili hapa chini.

SWALI
Ningependa kufahamu kutoka kwenu. Je ni lipi hasa tatizo letu sisi Waafrika/watu weusi hapa duniani, kwa nini tupo nyuma katika mambo mengi tofauti na Wazungu na Waasia?

Karibuni kwa maelezo na majibu yenu wadau wote.
1: Tuko kwenye maeneo ambayo nature inatupa nafuu ya vitu vingi. Hivyo, nature ina-control maisha yetu. Nasi kubweteka kwa asilimia kubwa.

2: Pale ambapo nature inatunyima kitu, huwa tunaona ni kutokana na nguvu iliyo juu yetu. Hivyo hatuna harakati mahsusi za kutatua matatizo. Ila tunaiachia hiyo nguvu Mungu vs uchawi na kuamini hatuwezi kitu.

3: Kutokana na 2 hapo juu, sehemu kubwa ya kizazi chetu kimeandaliwa na kukua katika misingi hiyo. Na tumeendelea kuona ni sawa.

4: Kutokana na hayo hapo juu, tunajikuta tunatumia muda mwingi kushughulika na petty issues na kupoteza muda na resources. Matatizo yanaendelea kulimbikizwa na .uda unaenda mbele.

NB: Tunahitaji kuchukua challenges zetu positively, tuandae mazingira ya kuzitatua sisi wenyewe kwa kutambua uwezo wetu kwa ujumla, tuweke mazingira ya kutoongeza athari hasi zaidi tokana na maisha yetu.

Tutambue yote yanawezekana kwa kila kizazi kufanya kwa kiasi chake.

Kujua nini tatizo+elewa nini kinahitajika+plan solution +use time, brain and resources nicely stepwise.
 
Asante kwa kunipa machaguzi machache katika swali lako,tuanze na i, Uchumi
ii, Elimu
ii, Sayansi

Karibu .
Mkuu vizuri, basi naomba uwe tayari kuelewa na sio kubishana.
Naomba tuende kwenye mzizi wa tatizo elimu, uchumi, sayansi mbovu kwa watu weusi
ni matokeo ya mda mrefu sana.
Tuaanzie kwenye kipengele cha IQ.
ni kweli muafrika akipelekwa katika mazingira sawa yaani shule anayosoma mzungu na muafrika
akasoma hapo, muafrika atakuwa wa mwisho!?
Naomba twende kwa mfumo wa swali na jibu
 
Mkuu vizuri, basi naomba uwe tayari kuelewa na sio kubishana.
Naomba tuende kwenye mzizi wa tatizo elimu, uchumi, sayansi mbovu kwa watu weusi
ni matokeo ya mda mrefu sana.
Tuaanzie kwenye kipengele cha IQ.
ni kweli muafrika akipelekwa katika mazingira sawa yaani shule anayosoma mzungu na muafrika
akasoma hapo, muafrika atakuwa wa mwisho!?
Naomba twende kwa mfumo wa swali na jibu
Mkuu una energy. Huyo ana majibu yake tayari hata umueleze vipi sijui kama atakubali
 
1: Tuko kwenye maeneo ambayo nature inatupa nafuu ya vitu vingi. Hivyo, nature ina-control maisha yetu.

2: Pale ambapo nature inatunyima kitu, huwa tunaona ni kutokana na nguvu iliyo juu yetu. Hivyo hatuna harakati mahususi za kutatua matatizo. Ila tunaiachia hiyo nguvu Mungu vs uchawi.

3: Kutokana na 2 hapo juu, sehemu kubwa ya kizazi chetu kimeandaliwa na kukua katika misingi hiyo. Na tumeendelea kuona ni sawa.

4: Kutokana na hayo hapo juu, tunajikuta tunatumia muda mwingi kushughulika na petty issues na kupoteza muda na resources.
Hii ndio faida ya kuwa na watu wasomi humu jukwaani, umejibu swali kwa kueleweka zaidi. kongole kwako mkuu na karibu tena kwa maelezo na majibu zaidi kama utapenda.
 
 
Back
Top Bottom