Waafrika wazalendo wachukizwa na kitendo cha Victor Oshmen kuoa mzungu, wanasema ni usaliti

Waafrika wazalendo wachukizwa na kitendo cha Victor Oshmen kuoa mzungu, wanasema ni usaliti

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20230605-130535.png

Mchezaji wa kimataifa wa Nigeria,
ambaye amekuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Italia, Victor Osimhen aliingia na mtoto wake mwenye mchanganyiko wa Kiafrika na kizungu uwanjani

Mashabiki wengi mtandaoni kutoka Afrika walionyesha kutofurahishwa na mchezaji huyo kuzaa na mzungu na kuwaacha wanawake wa Kiafrika na kusema huo ni kama Usaliti kwa Waafrika wenzake
 
Wazungu ni wabaguzi sana. Sisi hatuna ubaguzi kabisa.
 
Hamna cha usaliti wala nini, wamuache aishi maisha yake aliyojichagulia... ingekuwa sio maarufu akaoa Mzungu na kuzaa naye wala haya usingeyasikia

Unafiki tu
 
Kwani mzungu sio mtu??hao ni mataahira tu
 
View attachment 2647061
Mchezaji wa kimataifa wa Nigeria,
ambaye amekuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Italia, Victor Osimhen aliingia na mtoto wake mwenye mchanganyiko wa Kiafrika na kizungu uwanjani

Mashabiki wengi mtandaoni kutoka Afrika walionyesha kutofurahishwa na mchezaji huyo kuzaa na mzungu na kuwaacha wanawake wa Kiafrika na kusema huo ni kama Usaliti kwa Waafrika wenzake
Ukute waafrika wanaolalamika hivyo ni wale wa kiume
 
View attachment 2647061
Mchezaji wa kimataifa wa Nigeria,
ambaye amekuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Italia, Victor Osimhen aliingia na mtoto wake mwenye mchanganyiko wa Kiafrika na kizungu uwanjani

Mashabiki wengi mtandaoni kutoka Afrika walionyesha kutofurahishwa na mchezaji huyo kuzaa na mzungu na kuwaacha wanawake wa Kiafrika na kusema huo ni kama Usaliti kwa Waafrika wenzake
Waafrica wenyewe wakijichunguza watajikuta si Waafrica, ni nchi tofauti, katika nchi ni makabila tofauti.

Hapo napo vipi?

Kila mtu aoe kijijini kwao?
 
Waafrica wenyewe eskijichunguzs watajikuta si Waafrica, ni nchi tofauti, katika nchi ni makabila tofauti.

Hapo napo vipi?

Kila mtu aoe kijijini kwao?

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Tunarudi palepale ya kwamba "WAAFRIKA WANA LAANA YA MILELE"

"NGOZI NYEUSI IMELAANIWA"
 
Haina haja ya kupangiana mahusiano maana akija kulizwa inakua imekula kwake
 
Muhimu awe amepata usharudi kutoka kwa Emanuel Eboue na Achraf Hakeem
 
Back
Top Bottom